JATU ni Mr Kuku mwingine, ni swala la muda tu

Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Hawa Leo Walikuwa Wanahojiwa Na Kipanya Wakawa Wanyonge Kumbe Ni Wapigaji Ila Nasi Tumezidi Yaani Hata Tukiambiwa Tunapigwa
Lazima Utakuta Idadi Kubwa Wamepigwa WAmechakaa Hoi
Ukihoji kidogo Tu. Utasikia wenzako wanapata, wanafaidika wewe unapoteza muda kuulizauliza maswali!
Unapigwa Vita. Unasimangwa hujui lolote! Negative

Ila tuliwaonya! Ukae town. Utegemee wenzako wakae shambani. Waungue na jua, walowane na mvua. Wakuletee faida!

Na kuna michezo walicheza Sana walipoingia DSE, kupandisha hizo hiza zao, nunua uza, nunua uza!
Tulioumizwa na Hilo soko la DSE tulikuwa tunawacheki Tu na kusema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, mind you mwendazake alikuwepo!
 
Ikawaje
 
Tanzania ukitangaziwa fursa basi juwa wewe ndio fursa yenyewe.
 
Maamaaaae almanusura nijiunge[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Tatizo Watanzania wengi tuko Lazy sna. Sasa mtu akisikia tu kuwa "Unalimiwa Shamba" then wew unakunja 4 tu na kusubiria Faida atakimbilia fasta sana Ila mwambie akalime mwenyewe hapo ndio kasheshe. Tu wavivu sanaa kwakweli.
 
Hahahahahah watu wanabadili mifumo tu ila upigaji uko pale pale tu
Mwenyewe nataka kufungua michongo miwili ufugaji ng'ombe Kwa pamoja na ufugaji mbuzi Kwa pamoja!
Nikishawasminisha ng',ombe wanazaa mpacha vmbuzi vinazaa triplets, nitawadaka Tu!
Na maziwa tunauza uarabuni kombe la dunia!

Nikishafikisha malengo Tu. Namtumia Mange Mchongo anilipe Kwanza kisha alipue kampuni ni feki!

Mbona easy Tu. Mapichapicha Instagram na YouTube, ninaukimbia umaskini! Kwa Kasi ya escape velocity!
 
Hata mimi naliwaza hiki kwani qatanzania ni mbumbumbu sana
 
Duuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…