Javier Milei "The Madman" ashinda Urais wa Argentina

Javier Milei "The Madman" ashinda Urais wa Argentina

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Kutana na mwamba wa kuitwa 'The Madman' ambaye ameshinda uchaguzi wa urais wa Argentina.

Huyu mwamba ni mfuasi wa mrengo mkali wa kulia ambaye anamu-inspire sana "Madman" mwenzake Donald Trump.

1700462099939.jpeg

Ni mfuasi mkubwa wa Israel na ameahidi mageuzi makubwa sana nchini Argentina, sasa wamemkabidhi kijiti ngoja tuone kama atatoboa ama ataishia msimu mmoja kama Trump.

Katika moja ya mikutano yake aliwahi kutumia Chainsaw kama ishara ya kufuta baadhi ya wizara ili tu kubana matumizi. Wizara alizoahidi kuzifuta ni Wizara ya Michezo na Utalii, Wizara ya Utamaduni na Sanaa, Wizara ya Mazingira na Maendeleo Endelevu, Wizara ya Wanawake na Jinsia.

Rais wa zamani wa Marekani Trump amempongeza Milei haraka, akisema ataifanya Argentina kuwa Kubwa Tena (MAGA).

 
Kutana na mwamba wa kuitwa 'The Madman' ambaye ameshinda uchaguzi wa urais wa Argentina.

Huyu mwamba ni mfuasi wa mrengo mkali wa kulia ambaye anamu-inspire sana "Madman" mwenzake Donald Trump.

Ni mfuasi mkubwa wa Israel na ameahidi mageuzi makubwa sana nchini Argentina, sasa wamemkabidhi kijiti ngoja tuone kama atatoboa ama ataishia msimu mmoja kama Trump.

Katika moja ya mikutano yake aliwahi kutumia Chainsaw kama ishara ya kufuta baadhi ya wizara ili tu kubana matumizi. Wizara alizoahidi kuzifuta ni Wizara ya Michezo na Utalii, Wizara ya Utamaduni na Sanaa, Wizara ya Mazingira na Maendeleo Endelevu, Wizara ya Wanawake na Jinsia.

Rais wa zamani wa Marekani Trump amempongeza Milei haraka, akisema ataifanya Argentina kuwa Kubwa Tena (MAGA).

View attachment 2819515
Namuunga mkono hoja
 
Kutana na mwamba wa kuitwa 'The Madman' ambaye ameshinda uchaguzi wa urais wa Argentina.

Huyu mwamba ni mfuasi wa mrengo mkali wa kulia ambaye anamu-inspire sana "Madman" mwenzake Donald Trump.

Ni mfuasi mkubwa wa Israel na ameahidi mageuzi makubwa sana nchini Argentina, sasa wamemkabidhi kijiti ngoja tuone kama atatoboa ama ataishia msimu mmoja kama Trump.

Katika moja ya mikutano yake aliwahi kutumia Chainsaw kama ishara ya kufuta baadhi ya wizara ili tu kubana matumizi. Wizara alizoahidi kuzifuta ni Wizara ya Michezo na Utalii, Wizara ya Utamaduni na Sanaa, Wizara ya Mazingira na Maendeleo Endelevu, Wizara ya Wanawake na Jinsia.

Rais wa zamani wa Marekani Trump amempongeza Milei haraka, akisema ataifanya Argentina kuwa Kubwa Tena (MAGA).

View attachment 2819515
Namuunga mkono hoja
 
Huyu alifaa kuwa kocha wa mpira wenzake ni kina diego simeone..
Naona ana uchizi wa marehemu diego armando maradona. 🤣😂
 
Unashinda uchaguzi kwa sababu ya umaarufu na kupiga domo mfumo huu wa kipumbavu sana katika kupata viongozi wa nchi.
 
Watamtoa kwa figisu kama yule Mama wa mrengo wa kulia,ngoja atoe matamko ya kuipinga Marekani.
 
Ni zionist huyo, hawezi pingana na Usa, halafu jambo la Ajabu ni kuona Watu weusi wanashabikia Mwanasiasa wa mrengo wa Kulia Argentina ambao wanahusika na ku hakikisha hakuna weusi Argentina kwa kuwaua.
ungelikuwa una care kiasi hiki ungelikuwa atheist lakini sasa we ni Muslim.
mfuasi wa Mwamedi aliemiliki watumwa weusi na kuwabadili kwa mzungu mmoja kwa Weusi wawili.
 
ungelikuwa una care kiasi hiki ungelikuwa atheist lakini sasa we ni Muslim.
mfuasi wa Mwamedi aliemiliki watumwa weusi na kuwabadili kwa mzungu mmoja kwa Weusi wawili.
Vice versa is true, Mtume Maisha yake yote alikua akinunua watumwa na kuwaachia huru, na hao waliobakia walibaki kwa mapenzi yao wenyewe, mpaka mtume anafariki ni mtu masikini asie na Mali zozote na nguo za Viraka tu, mtume alikua ana lala kwenye mkeka na Ali dedicated maisha yake yote kuwa fanya Binadamu wote kuwa sawa.

Pia usianze kuharibu uzi wa watu rudi kwenye Mada.
 
Back
Top Bottom