Jawabu kwa Lord Denning: Mikataba mithili ya IGA inayotaja gharama halisi za miradi ipo hapa Tanzania

Anataka kulazimisha eti Kila mwanamke akojoe amechuchumaa anasahau kuwa wanawake wazee sana nyonga zao haziruhusu kuchuchumaa, wanajisaidia wamesimama!!!
Wajinga hawa wamepewa fungu huko kuja kutushawishi upuuzi wakupoteza haki zetu zakumiliki hata aridhi
 
Wanaoleta upuuzi wa Uchama, Udini, Ukabila katika mambo ya msingi ya nchi nashauri wapuuzwe tu. Yani mtu anakomaa na kamstari kamoja tena akitaka mifano ya kwengine akijua fika nchi zinatofautiana sheria, tamaduni,katiba etc. wakati kuna document nzima yenye mapungufu.
 
Amepotoka vipi sasa.. kwani Dubai Ni nchi?..
 
Dah.

Mafundi mchundo hizi lugha zinatuacha.

Sisi tunafuata Upepo, yaani wasiwasi ndo akili. Heri nusu shari kuliko shari kamili.

Hatutaki Huu mkataba wa mwarabu
 
Nani kakwambia kwamba IGA zote ni identical?
Each case has to be argued in isolation.
We have a stable legal and political framework.
Uwekezaji wa bandarini za Tanzania hauhitaji IGA, as shown above.
Hivi hizo HGA baada ya IGA zinatua na msaada gani once tumeshindwana na kwenda kwenye kesi nje...Je itatazamwa hizo HGA ama IGA?kama ni IGA je hizi ngojera kua HGA itakua nzuri zina msaada gani, badala ya kukomaa ku solve IGA ndio iwe nzuri
 
Sijui kwanini umeamua kufumbia macho upotoshaji alioleta mleta mada, hii JF ipo kwa ajili ya kujifunza na kurekebishana, sioni sababu kwanini tuoneane aibu, naamini kufaya hivyo, tutakuwa tunazidi kuharibu.
 
Hivi yule Zwazwa alikushighulisha kabisa ukahangaika kumtafutia mifano ambayo yeye mwenyewe anajua ipo? Wiki 2 zilizopita iliwekwa hapa BIT Kati ya UAE na UK na Kila Mtu alisoma jinsi benefits za Kila upande zilivyoainishwa. Huyo Lord wa Machongo ni Chawa tasa asikusumbue Mkuu.
 

Mie nimewasilisha hoja yenye kutetea rai kwamba uwekezaji kwenye bandari zilizo ndani ya nchi yetu hauhitaji IGA wala HGA.

Hoja hii inaweza kuboreshwa kwa njia tatu: kuondoa tatizo la kimmuundo (soundness) au kuondoa tatizo la kimaudhui (validity) au yote matatu.

Uboreshaji wa aina hiyo huwa na faida kwa jamii pana, kama hii iliyopo hapa JF

Usisite kutekeleza wajibu wako kama mwanazuoni.
 
Tunaongea lugha moja kwa maana kwmba hoja hazipingani.

Tangu awali nimekuwa nasema IGA ni batili. DPW iingie ubia na TPA kwa MoU waliosaini, na ijisajiri TIC na BRELA.

Hivyo basi, maelezo yangu, ya awalli, unayoona yanatatiza, ni majibu kwa watetezi wa IGA wakidai kuwa HGAs ndio zitakuwa na majibu ya maswali ya wanaopinga baadhi ya vifungu vyake.
 
Nimefanya utafiti wangu ndo mana nikaja na ilo swali.

Fanya utafiti wako then Jibu swali langu kama lilivyoulizwa!
Weka hapa matokea ya utafiti wako tuone kama ushahidi uliyopata una mashiko. Yaani ufanye utafiti halafu matokeo hutaki kuyaweka wazi ili wachangiaji wayapitie? Wewe ni msomi wa wapi? Eti «fanya utafiti wako», wakati wewe ndiyo una burden of proof kuthibitisha hoja yako kwa ushahidi? Hoja yako wewe ndiyo nothing but an opinion: haina factual basis yoyote. Ukiambiwa uweke ushahidi unakwepa. Unajibu: «fanya utafiti wako».
 
Mimi nimemwelewa vyema pia..

Kwa lugha rahisi zaidi, Mama Amon anamaanisha kwamba, kampuni ya DP World haikuhitaji kuingia kuwekeza Tanzania kwa njia mkataba wa IGA..

DP World kama inataka kuwekeza Tanzania, basi ingekuja kwa kufuata utaratibu uleule wa kawaida ambao Kila mwekezaji anaufuata. Wangesaini mkataba wa kibiashara (commercial contract) kimya kimya tu na TPA.

Kila mtu anajiuliza, iweje DP World (kampuni binafsi ya kibiashara) itake kuja kuwekeza nchi kwetu kwa mgongo wa "nchi" Kwa kutumia mkataba wa IGA unaotaka sisi kama nchi tubadili sheria zetu ili tu ziwa - accommodate wao?

Tunaendelea kujiuliza, hii DP World ina umaluumu gani kuzidi wawekezaji maelfu wengine waliopo na watakaokuja kuwekeza hapa nchini? Na kwanini mkataba wa kibiashara upelekwe kuwa ratified na Bunge?

Na tukajiuliza tena, mbona mikataba ya makampuni makubwa makubwa mengine kama ya madini, gas nk hayakupitia njia hii? Kulikoni kwa DP World..?

Haya ndiyo maswali yanayosumbua vichwa vya watu na bahati nzuri majibu ya kilicho nyuma ya huu mpango, yalishapatikana...!!

Ni kwamba, kwa kutumia mgongo wa ujinga wa viongozi wetu na tamaa zao, mfalme wa UAE kupitia Dubai na kwa kuitumia kampuni binafsi ya mfalme wa Dubai (DP World) wanataka kuifanya Tanganyika koloni lao..!!
Lord denning FaizaFoxy njooni na huku na mseme kitu kwa Mama Amon
 
Bimkubwa , IGA mbona imesema wazi kabisa, Kwamba Tanzania tunalazimika kumtaarifu DP World na Hata DPW pia anapaswa kututaarifu pale anapoona anataka kuwekeza kwene Gati Flani ya Bandari, Kisha Ana Frame proposal na kumpa Tanzania, So Tanzania ,apo ana maamuzi mawili, either aikubali na kuweke saini au aikatae .
Halazimiki kuikubali ile Proposal ,Bali anaweza kutoikubali na Akampa kampuni nyingine eneo hilo hilo.

Hakuna sehemu iliosema Tanzania Haturuhusiwe kushirikiana na Makampuni mengine.
 
Lord denning atakuelewa? Maan ashakula mlungula wa kupush agenda ya DP world!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…