Jay Jay Okocha alishasema Huwezi kum Point Mwanasiasa aongoze Soka, Eng Hersi ni Mwanasiasa

Jay Jay Okocha alishasema Huwezi kum Point Mwanasiasa aongoze Soka, Eng Hersi ni Mwanasiasa

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Eng Hersi ni Mwanasiasa anaeitumia utoopolo , Yupo Utopolo anatumia Nafasi hiyo kulisaka Jimbo

Timu Nyingine inayoongozwa kisiasa ni Singida chini ya Mwigulu, angalia mambo yanavyofanyika kisiasa hapo Singida BS, Mara wachezaji wanapewa uraia kimagumashi, Singida ina wachezaji 15 wa kigeni kinyume na utaratibu wa TFF inayotaka timu iwe na wachezaji 12 wa Kigeni


Hata hili la kocha wa Singida kuhamia Utopolo kimagumashi ni Mwanasiasa Mwigulu na Mwanasiasa Hersi Wamefanya hili swala kisiasa


Poor Utopolo



IMG-20250120-WA0020.jpg
20250120_161507.jpg
 
Mtafute kiongozi yoyote wa soka katika ligi yetu kwa miaka 30 iliyopita aliyefanikisha kuiongoza timu kucheza nusu au fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika.

Mtafute kiongozi wa soka katika ligi yetu aliye washenyeta Simba yenye ufadhili wa bilionea kijana mara 4 mfululizo mpaka wanachama wanaomba waamie ligi ya Burundi au Zanzibar.

Mtafute kiongozi aliye sajili wachezaji bora kabisa kwenye kikosi chake kilichofanikisha kutwaa vikombe mfululizo uku aki mshenyeta mtani wake mfululizo bila huruma.

Mtafute Kiongozi wa soka mwenye mafanikio ya ki uongozi na matokeo uwanjani zaidi ya Hersi Said katika ukanda huu wa Afrika mashariki.

Mtafute kiongozi kijana mwenye ushawishi mkubwa katika soka katika ngazi ya vilabu kupelekea kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa vilabu na mjumbe wa X Com ya CAF zaidibya Hersi Said katika bara la Afrika.
Mtafute kiongozi aliye vaa medali nyingi zaidi baada ya kutwaa makombe mbalimbali Nchini.

Kama Hersi ni Mwanasiasa basi nampongeza aendelee na siasa zake kwakua uku kwenye mpira anatupa vikombe na muendelezo wa ku mshenyeta mtani.
 
Eng Hersi ni Mwanasiasa anaeitumia utoopolo , Yupo Utopolo anatumia Nafasi hiyo kulisaka Jimbo

Timu Nyingine inayoongozwa kisiasa ni Singida chini ya Mwigulu, angalia mambo yanavyofanyika kisiasa hapo Singida BS, Mara wachezaji wanapewa uraia kimagumashi, Singida ina wachezaji 15 wa kigeni kinyume na utaratibu wa TFF inayotaka timu iwe na wachezaji 12 wa Kigeni


Hata hili la kocha wa Singida kuhamia Utopolo kimagumashi ni Mwanasiasa Mwigulu na Mwanasiasa Hersi Wamefanya hili swala kisiasa


Poor Utopolo



View attachment 3225739View attachment 3225746
Mangungu siyo mwanasiasa?Aligombea kitu cha ubunge na wenzake kwenye kura za maoni za CCM akashindwa hata moo ni mwanasiasa alishawahi kuwa mbunge.
 
Eng Hersi ni Mwanasiasa anaeitumia utoopolo , Yupo Utopolo anatumia Nafasi hiyo kulisaka Jimbo

Timu Nyingine inayoongozwa kisiasa ni Singida chini ya Mwigulu, angalia mambo yanavyofanyika kisiasa hapo Singida BS, Mara wachezaji wanapewa uraia kimagumashi, Singida ina wachezaji 15 wa kigeni kinyume na utaratibu wa TFF inayotaka timu iwe na wachezaji 12 wa Kigeni


Hata hili la kocha wa Singida kuhamia Utopolo kimagumashi ni Mwanasiasa Mwigulu na Mwanasiasa Hersi Wamefanya hili swala kisiasa


Poor Utopolo



View attachment 3225739View attachment 3225746
Unakijua ulichokiandika ama simu ulimpa mwanao akaandika icho ulichoandika
 
Mtafute kiongozi yoyote wa soka katika ligi yetu kwa miaka 30 iliyopita aliyefanikisha kuiongoza timu kucheza nusu au fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika.

Mtafute kiongozi wa soka katika ligi yetu aliye washenyeta Simba yenye ufadhili wa bilionea kijana mara 4 mfululizo mpaka wanachama wanaomba waamie ligi ya Burundi au Zanzibar.

Mtafute kiongozi aliye sajili wachezaji bora kabisa kwenye kikosi chake kilichofanikisha kutwaa vikombe mfululizo uku aki mshenyeta mtani wake mfululizo bila huruma.

Mtafute Kiongozi wa soka mwenye mafanikio ya ki uongozi na matokeo uwanjani zaidi ya Hersi Said katika ukanda huu wa Afrika mashariki.

Mtafute kiongozi kijana mwenye ushawishi mkubwa katika soka katika ngazi ya vilabu kupelekea kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa vilabu na mjumbe wa X Com ya CAF zaidibya Hersi Said katika bara la Afrika.
Mtafute kiongozi aliye vaa medali nyingi zaidi baada ya kutwaa makombe mbalimbali Nchini.

Kama Hersi ni Mwanasiasa basi nampongeza aendelee na siasa zake kwakua uku kwenye mpira anatupa vikombe na muendelezo wa ku mshenyeta mtani.
Hakuna kipya alichofanya hayo mafanikio ni ya kawaida sana na hayana maajabu yoyote

Usajiri upi bora alioufanya, mchezaji yupi wa maama na bora amewai kumsajili nchi hii, maana ukitaja Top 5 za sajiri bora nchi hii ambazo zimewaikufanyika huwezi kukuta sajili hata moja ya injinia wa mchongo,

Na hao wachezaji wachache aliosajili na mna mpa sifa ni zilikua scout za Simba, kuanzia Aucho,Aziz,pakomwe nk, Sa hizi simba wanafanya sajili zao kimya kimya angalia avyoa boronga kwenye sajili kabakisha kusajili wazee na wachezaji wabovu na reject
 
Hakuna kipya alichofanya hayo mafanikio ni ya kawaida sana na hayana maajabu yoyote

Usajiri upi bora alioufanya, mchezaji yupi wa maama na bora amewai kumsajili nchi hii, maana ukitaja Top 5 za sajiri bora nchi hii ambazo zimewaikufanyika huwezi kukuta sajili hata moja ya injinia wa mchongo,

Na hao wachezaji wachache aliosajili na mna mpa sifa ni zilikua scout za Simba, kuanzia Aucho,Aziz,pakomwe nk, Sa hizi simba wanafanya sajili zao kimya kimya angalia avyoa boronga kwenye sajili kabakisha kusajili wazee na wachezaji wabovu na reject
Miaka 30 iliyopita mpaka sasa hapajawahi kuwa na kipa kama Diara, Namba 10 kama Aziz K, Full back ya kulia kama Yao kwasi, Six kama aucho, Versatile kama Max , Namba kumi anaye tokea pemben kama Pacome.
Kama ulishawahi kumuona mmoja mwenye uwezo kama ao katika ligi yetu miaka 30 nyuma mtaje.

Sija mweka Chama , maana ataingia sub.
 
Miaka 30 iliyopita mpaka sasa hapajawahi kuwa na kipa kama Diara, Namba 10 kama Aziz K, Full back ya kulia kama Yao kwasi, Six kama aucho, Versatile kama Max , Namba kumi anaye tokea pemben kama Pacome.
Kama ulishawahi kumuona mmoja mwenye uwezo kama ao katika ligi yetu miaka 30 nyuma mtaje.

Sija mweka Chama , maana ataingia sub.
Chama, hutakiwi kumzungumzia maana utachekwa
 
Miaka 30 iliyopita mpaka sasa hapajawahi kuwa na kipa kama Diara, Namba 10 kama Aziz K, Full back ya kulia kama Yao kwasi, Six kama aucho, Versatile kama Max , Namba kumi anaye tokea pemben kama Pacome.
Kama ulishawahi kumuona mmoja mwenye uwezo kama ao katika ligi yetu miaka 30 nyuma mtaje.

Sija mweka Chama , maana ataingia sub.
We jamaa ni Mshamba na Soka, hapo kwenye ubora wa Kaseja na manura Diara aingii

Hakuna beki mbili Bora kwa miaka ya hivi karibuni wakufikia hata nusu ya Ubora wa Shomari Kapombe

Hakuna Namba 10 wa kufika level za Chama Aziz k ni One season wonder ni mchezaji wa kawaida sana, Hapo kwenye Namba 10 ukimweka Chama Pembeni Aziz k hafikii uwezo alionao Fei toto, Wamecheza wote timu Moja Aziz alikua anakaa bench na Fei Anaanza na Alikua na Namba nzuri Aziz ameanza kushine baada ya Fei Kuondokana kashine kwa msimu mmoja tu msimu jana, Aziz hata uwezo wa Boban hajafika

Huyo Aucho hata Level za akina James kotei hajafika, Bado Chuma Patrick mutesa Mafisango

Max Hajafiki hata nusu ya Uwe wa Emanuel Okwi Okwinyo fundi.

Huyo Pakomwe hata nusu Ya perfomance na uwezo wa Jose Luis Miquesson hajafika

Kaa chini jifunze Soka acha kupayuka payuka kama boya
 
We jamaa ni Mshamba na Soka, hapo kwenye ubora wa Kaseja na manura Diara aingii

Hakuna beki mbili Bora kwa miaka ya hivi karibuni wakufikia hata nusu ya Ubora wa Shomari Kapombe

Hakuna Namba 10 wa kufika level za Chama Aziz k ni One season wonder ni mchezaji wa kawaida sana, Hapo kwenye Namba 10 ukimweka Chama Pembeni Aziz k hafikii uwezo alionao Fei toto, Wamecheza wote timu Moja Aziz alikua anakaa bench na Fei Anaanza na Alikua na Namba nzuri Aziz ameanza kushine baada ya Fei Kuondokana kashine kwa msimu mmoja tu msimu jana, Aziz hata uwezo wa Boban hajafika

Huyo Aucho hata Level za akina James kotei hajafika, Bado Chuma Patrick mutesa Mafisango

Max Hajafiki hata nusu ya Uwe wa Emanuel Okwi Okwinyo fundi.

Huyo Pakomwe hata nusu Ya perfomance na uwezo wa Jose Luis Miquesson hajafika

Kaa chini jifunze Soka acha kupayuka payuka kama boya
Nenda kwenye Platform za mashabiki wenzako wa Simba wapelekee uo upuuzi ulio uandika kama awaja kukanyaga makofi. Chukua uwezo wa kaseja + Manula hawajafika uwezo wa Iddi Pazi sasa jumlisha wote watatu utapata Diara mmoja tena Diara asiye na footwork.

Apo kwa Kwasi , chukua Kapombe ambaye yupo katika ubora wake wajuu kabisa na Kwasi aliye katika Ubora wajuu kabisa, Kapombe Atasubiri msimu mzima kupata nafasi.

Kapombe nidhaifu kabisa katika uzuiaji tena uchochoro wa uhakika ila ana uwezo kidogo kwenye kushambulia ila anazidiwa vyote na Kwasi, kwenye kuzuia na kushambulia na kucheza mpira.

Chama + Feisal unaweza usipate Aziz K mmoja.

Class ya Aziz sio ya kucheza uku Mashariki ya Afrika, Aziz ni kitu kingine kabisa ndugu.
Aziz K akiwa katika peek anaweza kuiburuza Deffence nzima kwa Sekunde 25 tu.

Waulize ma Diffender wa Simba walichokutana nacho wakati Aziz yupo Asec.
Achana na mechiza apa akiwa Yanga alipokua anawapiga matobo na kuwageuza kama chapati uku akiwafunga.

Aucho ni kitu kingine, yule ni power house ( mfua umeme) Captain wa Uganda.
Uwezi fananisha Mafisango aliye kosa namba Azam na timu ya taifa ya Rwanda + Nakotei ambaye havuki ata mstari wa kati wa uwanja na Dr.Aucho.

Ebu tafuta vitu vya kujadili uku kwenye mpira umekosea sana.
 
Mashabi wa Simba wanalijua soka na wataungana na mimi kwa hili nililolisema kuhusu uwezo wa wachezaji Unadhiilisha ushamba wako kwenye soka, naanza kuamini kua kuna mashabiki wamependa mpira baada ya kuanza kubet wewe ni mmoja wao

Maana wachezaji unaowataja wote hao hawazidi misimu mitatu hapa bongo, Hili linadhiilisha ushamba na ugeni wako kwenye soka, inaonekana hata baadhi ya wachezaji niliowataja haujawashuudia wakiwa kwenye ubora wao

Wewe ni tomaso wa Soka, Aziz k ni One season Wonder, ni mchezaji wa level za kawaida sana, hata nusu ya uwezo naperfomance ya Chama hajafika

Inaonekana Okwi unamsikia tu hukuwai kumshuhudia

Maamdiko yako yanaonyesha umetoka kijijini juzi mechi yako ya kwanza ni Simba dhidi ya Asec, Baada ya kutoka bush ukafikia kwa shemeji yako akakulazimisha kushabikia utopolo

Aucho ni mchezaji wa kawaida sana, aucho kaja bongo free agent tena kwa kuitwa na simba kuja kufanya majaribio utopolo mkashoboka nae, Aucho hajafika hatu nusu ya uwezo wa Mukoko Tonombe


Mshamba wa soka kaa chini jifunze na ufatilie vitu vipo mitandaoni
 
Mashabi wa Simba wanalijua soka na wataungana na mimi kwa hili nililolisema kuhusu uwezo wa wachezaji Unadhiilisha ushamba wako kwenye soka, naanza kuamini kua kuna mashabiki wamependa mpira baada ya kuanza kubet wewe ni mmoja wao

Maana wachezaji unaowataja wote hao hawazidi misimu mitatu hapa bongo, Hili linadhiilisha ushamba na ugeni wako kwenye soka, inaonekana hata baadhi ya wachezaji niliowataja haujawashuudia wakiwa kwenye ubora wao

Wewe ni tomaso wa Soka, Aziz k ni One season Wonder, ni mchezaji wa level za kawaida sana, hata nusu ya uwezo naperfomance ya Chama hajafika

Inaonekana Okwi unamsikia tu hukuwai kumshuhudia

Maamdiko yako yanaonyesha umetoka kijijini juzi mechi yako ya kwanza ni Simba dhidi ya Asec, Baada ya kutoka bush ukafikia kwa shemeji yako akakulazimisha kushabikia utopolo


Mshamba wa soka kaa chini jifunze na ufatilie vitu vipo mitandaoni

Mimi nimeishudia Simba ya Moses Mkandawile , Idd pazi, Rafael paul , Kajole, Mtemi Ramadhani, Twalib Hilal, (Super Kiwelu Musa) Zuberi Magoha nk, Wanakimbia wanagoma kuendelea na mechi Yanga walipewa penalt ambayo Yanga wangepata katika dakika izo za lala salama Yanga angetangazwa Bingwa wa Tanzania.
kwakua walikua wamefungana point na Simba.
Pale Shamba la bibi kipindi cha pili goli la kaskazini.
Goli lisilo lala na njaa.

Kitasa wa Yanga Hisiaka Hasan anachukua mpira ili akapige penalty Simba wamegoma.

Jukwaa la Yanga linalipuka kwa shangwe wakati mwamba Hisiaka Hassan (Chukwu ) ana kwenda kupiga tuta la kuipa Yanha ubingwa.
Na kwakua anafahamika kwa uwezo wake wa kupiga penalty Simba waka goma na mechi ikavunjika baada ya refa kusubiria kwa dk 15 na simba kukomaa penalty isipigwe.

Kesho yake Said Elcmaamry anaitangaza Yanga Bingwa 1985 kwa kupewa point 2 na magoli 2.

Sas usiniambie habari za okwi mtoto wa juzi ndio maana niliandika katika miaka 30 toka sasa kwakua ukirudi nyuma Tanzania kulikua na mafundi wengi.

Walikuwepo wakina Ngurungu, Juma Mkambi, Adolf Richard, Thuen Ally, Mtemi Ramadhan, Zamoyoni Mogela , Omary Husen ata kizazi cha Method Mogela, Issa athuman, Michael paul , Malota n.k kilikua na watu na ndipo mpira wa Tanzania ulipo ishia mwaka 93/94 .


Baada ya apo hakukua na wachezaji wa maana ndio kinakuja kizazi chenu cha okwi, boban, chuji, Haruna Nionzima ,mafisango, sunzu yaani ni upuuzi mtupu unao ita wachezaji.
Kuna mtu aliitwa Doto ruta Mokil(freezer) alikua aki ingia sub pale Yanga mwaka 1983 sasa fikiria icho kikosi kilikuaje.
Uyo Mokili chukua uwezo wa Ateba+ Ahoua+ Dube na bado alikaa Bench.
Sasahivi tuna angalia Copy za wacheza mpira ila si mpira.

Mstari wa mbele wa Simba ya 1993 hakuna ata mchezaji mmoja wa Simba ya sasa atayepata nafasi ata benchi.
 
Mashabi wa Simba wanalijua soka na wataungana na mimi kwa hili nililolisema kuhusu uwezo wa wachezaji Unadhiilisha ushamba wako kwenye soka, naanza kuamini kua kuna mashabiki wamependa mpira baada ya kuanza kubet wewe ni mmoja wao

Maana wachezaji unaowataja wote hao hawazidi misimu mitatu hapa bongo, Hili linadhiilisha ushamba na ugeni wako kwenye soka, inaonekana hata baadhi ya wachezaji niliowataja haujawashuudia wakiwa kwenye ubora wao

Wewe ni tomaso wa Soka, Aziz k ni One season Wonder, ni mchezaji wa level za kawaida sana, hata nusu ya uwezo naperfomance ya Chama hajafika

Inaonekana Okwi unamsikia tu hukuwai kumshuhudia

Maamdiko yako yanaonyesha umetoka kijijini juzi mechi yako ya kwanza ni Simba dhidi ya Asec, Baada ya kutoka bush ukafikia kwa shemeji yako akakulazimisha kushabikia utopolo

Aucho ni mchezaji wa kawaida sana, aucho kaja bongo free agent tena kwa kuitwa na simba kuja kufanya majaribio utopolo mkashoboka nae, Aucho hajafika hatu nusu ya uwezo wa Mukoko Tonombe


Mshamba wa soka kaa chini jifunze na ufatilie vitu vipo mitandaoni
hivi inakuaje unakuwa una wivu kwa maendeleo ya mwanaume mwenzio kiasi hiko? nisiandike sana labda ww ni KE. katika bandiko lako una kila chembechembe za u-KE.
 
hivi inakuaje unakuwa una wivu kwa maendeleo ya mwanaume mwenzio kiasi hiko? nisiandike sana labda ww ni KE. katika bandiko lako una kila chembechembe za u-KE.
Kwakua wewe una Uke unadhani wote wanao, Kama mmeo hakutosherezi sema vidume tuingie mzigoni kukushughulikia
 
Mimi nimeishudia Simba ya Moses Mkandawile , Idd pazi, Rafael paul , Kajole, Mtemi Ramadhani, Twalib Hilal, (Super Kiwelu Musa) Zuberi Magoha nk, Wanakimbia wanagoma kuendelea na mechi Yanga walipewa penalt ambayo Yanga wangepata katika dakika izo za lala salama Yanga angetangazwa Bingwa wa Tanzania.
kwakua walikua wamefungana point na Simba.
Pale Shamba la bibi kipindi cha pili goli la kaskazini.
Goli lisilo lala na njaa.

Kitasa wa Yanga Hisiaka Hasan anachukua mpira ili akapige penalty Simba wamegoma.

Jukwaa la Yanga linalipuka kwa shangwe wakati mwamba Hisiaka Hassan (Chukwu ) ana kwenda kupiga tuta la kuipa Yanha ubingwa.
Na kwakua anafahamika kwa uwezo wake wa kupiga penalty Simba waka goma na mechi ikavunjika baada ya refa kusubiria kwa dk 15 na simba kukomaa penalty isipigwe.

Kesho yake Said Elcmaamry anaitangaza Yanga Bingwa 1985 kwa kupewa point 2 na magoli 2.

Sas usiniambie habari za okwi mtoto wa juzi ndio maana niliandika katika miaka 30 toka sasa kwakua ukirudi nyuma Tanzania kulikua na mafundi wengi.

Walikuwepo wakina Ngurungu, Juma Mkambi, Adolf Richard, Thuen Ally, Mtemi Ramadhan, Zamoyoni Mogela , Omary Husen ata kizazi cha Method Mogela, Issa athuman, Michael paul , Malota n.k kilikua na watu na ndipo mpira wa Tanzania ulipo ishia mwaka 93/94 .


Baada ya apo hakukua na wachezaji wa maana ndio kinakuja kizazi chenu cha okwi, boban, chuji, Haruna Nionzima ,mafisango, sunzu yaani ni upuuzi mtupu unao ita wachezaji.
Kuna mtu aliitwa Doto ruta Mokil(freezer) alikua aki ingia sub pale Yanga mwaka 1983 sasa fikiria icho kikosi kilikuaje.
Uyo Mokili chukua uwezo wa Ateba+ Ahoua+ Dube na bado alikaa Bench.
Sasahivi tuna angalia Copy za wacheza mpira ila si mpira.

Mstari wa mbele wa Simba ya 1993 hakuna ata mchezaji mmoja wa Simba ya sasa atayepata nafasi ata benchi.
Weww hujui kitu kuhusu soka, Hizo story za wachezaji wa zamani kwamba uliwashudia ni porojo sema ulikua unasikiliza mpira ukiwa huko kijiji kwenu, swala la kusema uliwashudia huo ni Uongo

Aziz K ni One Season Wonder,

msimu uliopita ndo ulikua msimu bora kwake, msimu huu Aziz K alipaswa kua mchezaji wa bench
 
Back
Top Bottom