juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
Jumanne mchopanga ni msanii mzuri sana na ninamkubali sana kuliko msanii yeyote bongo nzima,ila tatizo la huyu jamaa ni uzushi tu.jamaaa ni mzushi sana na nahisi hata tabia za kinafiki lazima anazo.jamaa kaanza kutudanganya miaka nenda rudi kwamba atatoa album inayoitwa Moekmentary,cha ajabu hadi leo ni holla.
hakuna cha album wala mixtape.sasa sijui anamuongopea nani.na juzi kati katudanganya tena kwamba atatoa ngoma wiki hii baada ya pesa madafu kufanya vyema,ila hadi dakika hii hakuna ngoma wala nini.kwa nini wasanii wa bongo ni waongo sana?
Yaani ni waongo hawaaminiki kauli zao kabisa,hata tukianza kuwaorodhesha hapa waliotoa ahadi kedekede ni wengi sana.hata yule msanii wa Mbeya anaitwa Adili aliahidi kutoa wimbo na cpwaa ila hadi leo sijui kapotelea wapi hata haijulikani alipo,
hakuna cha album wala mixtape.sasa sijui anamuongopea nani.na juzi kati katudanganya tena kwamba atatoa ngoma wiki hii baada ya pesa madafu kufanya vyema,ila hadi dakika hii hakuna ngoma wala nini.kwa nini wasanii wa bongo ni waongo sana?
Yaani ni waongo hawaaminiki kauli zao kabisa,hata tukianza kuwaorodhesha hapa waliotoa ahadi kedekede ni wengi sana.hata yule msanii wa Mbeya anaitwa Adili aliahidi kutoa wimbo na cpwaa ila hadi leo sijui kapotelea wapi hata haijulikani alipo,