Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,022 Aug 5, 2016 #21 Huyo mleta thread ana bifu na Jaymoo au
bomouwa JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 1,149 Reaction score 800 Aug 5, 2016 #22 Mtuma uzi baada ya kujua umedanganywa ulifanya jitihada gani kuhakikisha Jaymo anatimiza ahadi hasa ikizingatiwa alikua kimya na umasikini umetawala wasanii wetu. Tatizo letu Watanzania hua tunapenda hitimisho bila kutafiti.
Mtuma uzi baada ya kujua umedanganywa ulifanya jitihada gani kuhakikisha Jaymo anatimiza ahadi hasa ikizingatiwa alikua kimya na umasikini umetawala wasanii wetu. Tatizo letu Watanzania hua tunapenda hitimisho bila kutafiti.