Jay Mo ni msanii anayeongoza kwa uongo

Mtuma uzi baada ya kujua umedanganywa ulifanya jitihada gani kuhakikisha Jaymo anatimiza ahadi hasa ikizingatiwa alikua kimya na umasikini umetawala wasanii wetu.

Tatizo letu Watanzania hua tunapenda hitimisho bila kutafiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…