Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Majembe kama haya afu ndo hayauzi, me namshauri angehama nchi bongo (wabongo) wanapenda miziki ya mapenzi mapenzi tuuu, ukate kiuno kidogo ndo full shwangwe ila majembe kama haya hayathaminiwi na hata wanaowakubali hawawa support kabisaa, huyu mtu ni kichwa hamna cha fid Q (mwimba nahau na methali) wala fid Z
kweli aisee. ila fareeed ni bad number piaMajembe kama haya afu ndo hayauzi, me namshauri angehama nchi bongo (wabongo) wanapenda miziki ya mapenzi mapenzi tuuu, ukate kiuno kidogo ndo full shwangwe ila majembe kama haya hayathaminiwi na hata wanaowakubali hawawa support kabisaa, huyu mtu ni kichwa hamna cha fid Q (mwimba nahau na methali) wala fid Z
kweli aisee. ila fareeed ni bad number pia
yupo uholanzi,kaenda mwaka jana mwshon,cdhan kama atarud bongo tena..
Jamaa anauwezo sana ila hana bahati...nikikumbuka ngoma zake...eti kisa mtoto wa mama wananiita bishoo, kuna hii ya kimyakimya...ndio maana nikitaka kusikiliza bongo fleva ni za zamani tu.!!!
Majembe kama haya afu ndo hayauzi, me namshauri angehama nchi bongo (wabongo) wanapenda miziki ya mapenzi mapenzi tuuu, ukate kiuno kidogo ndo full shwangwe ila majembe kama haya hayathaminiwi na hata wanaowakubali hawawa support kabisaa, huyu mtu ni kichwa hamna cha fid Q (mwimba nahau na methali) wala fid Z
kweli jombaa, sasa iv kuna wa2 kama madee nao wanasema wanachana
Mwenzenu ndo nna majukumu Majukumu Majukumu!
JayMoe mbakiaji Hakuna kama yeye Tanzania hii..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
jay Moe ni khabari nyingine sema hana kismati. Jamaa toka tangu na tangu anajua kugani rhymes zenye mpangilio na mashairi safi.
Toka maisha ya boarding mpaka I am so famous