Jay-Z Reveals That Having A Baby Is High Priority For Him And Beyonce

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
Thought this *****already had one ama?
 
Why do you have to call him ****?...si ungesema tuu "i thought Jay or Jigga ana mtoto alrady?....na ungeeleweka.....
 
Gay, just like Kanye (ma fav. rapper)
 
Mwaka huu tutasikia mengi lol

Smatta vipi naona umekuwa kimya sana siku hizi tangu Lil Boosie ahukumiwe.
 
Jay anahitaji services za huyu mchizi wa Facebook, soma hapa

Tatizo jamaa mzungu mtoto atatoka tofauti.
 
Jay anahitaji services za huyu mchizi wa Facebook, soma hapa

Tatizo jamaa mzungu mtoto atatoka tofauti.


Mbona jamaa mwenyewe kachoka hivyo?..na hao mademu walikuwa wanafikiria nini kweli unatongozana na mtu facebook?...that so low.
 


Mbona jamaa mwenyewe kachoka hivyo?..na hao mademu walikuwa wanafikiria nini kweli unatongozana na mtu facebook?...that so low.

Kachoka wakati wenzako 12 kashawapachika vitu.

Wewe hujampata slickster wa kukuhypnotize facebook? Tell the truth!
 
Kachoka wakati wenzako 12 kashawapachika vitu.

Wewe hujampata slickster wa kukuhypnotize facebook? Tell the truth!


sijapata since sina facebook na hata kama ninayo siwezi expeose my pictures on facebook...do you have one?...umeshapata mademu wangapi with facebook so far?....

yeah jamaa kachoka mbaya sana labda mademu wamechanganyikiwa na mshiko...kani yupo loaded?
 
Mwaka huu tutasikia mengi lol

Smatta vipi naona umekuwa kimya sana siku hizi tangu Lil Boosie ahukumiwe.

Lil Boosie bwana, mwaka mzima ataweza? unaskia mtu wako wayne anakula pia mwaka moja, Bird man ata boeka kweli 9if you know what I mean). Umeskia hayo ya Jay Z na Biene Sigel, Bienie ata mwaga mtama aisee, Gay Z atakuwa exposed, hakuna utani hapo.
 
Mambo yote Weezy F Baby...
Gucci Mane is the hottest MC right now...
 
Lil Boosie bwana, mwaka mzima ataweza? unaskia mtu wako wayne anakula pia mwaka moja, Bird man ata boeka kweli 9if you know what I mean). Umeskia hayo ya Jay Z na Biene Sigel, Bienie ata mwaga mtama aisee, Gay Z atakuwa exposed, hakuna utani hapo.

Huyo Beanie Sigel njaa tuu hana lolote angekuwa na nia ya kumwaga mtama angeshaumwaga siku nyingi au mshikaji wake Damon Dash angeshamsaidia, ila tusubiri huwezi jua.

Gucci who?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…