Jaydee kumleta Lil Wayne siku ya FIESTA

Wabongo mbwembwe bwana!!wakija hao mastaa wao kutoka huko Marekani,mashabiki wanaimba nao nyimbo moja ama mbili ambazo ziko heat na tayari huku kwetu zimetufikia!The rest inakuwa kama wanatizama luninga vile,maana msanii anaimba peke yake!Akisema make some noise watu kimya.!
Sasa ngoja apande Kiroboto pale juu baada ya kushuka huyo msanii wao uone vumbi lake!
 
wala hata clouds msihangaike mleteni tu CHRIS BROWN mtasomba maduu vyuo vyote tz
 
Yap wacha amlete nipate dili la kuumuzia Jide na mgeni wake msuba kutoka Tarime mwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…