Jaydee mgeni rasmi Mahafali ya Sekondari ya Jeshi

Jaydee mgeni rasmi Mahafali ya Sekondari ya Jeshi

Dr. Ndimu

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
717
Reaction score
146
Kupitia akaunt yake ya instagram jaydee ameelezea alivyochukilia mwaliko wake wa kuwa mgeni rasmi katika sekondari ya unyanyembe inayomilikiwa na jeshi kuwa ni zaid ya heshima kwake.
Ni kwamba jamii imebadili fikra kuhusu muziki na wanamuziki ama nini.
Nakumbuka nikiwa kidato cha NNE tulimpendekeza Juma nature ama pfoffessor J kuwa mgeni rasmi wakati huo ndio walikuwa wanasumbua ktk burudani ila walimu walipokea pendekezo letu kwa namna isiyo njema ilifikia hatukuwa na mgeni rasmi kwakuwa tulimkataa diwani aliyealikwa na shule.
 
Kupitia akaunt yake ya instagram jaydee ameelezea alivyochukilia mwaliko wake wa kuwa mgeni rasmi katika sekondari ya unyanyembe inayomilikiwa na jeshi kuwa ni zaid ya heshima kwake.
Ni kwamba jamii imebadili fikra kuhusu muziki na wanamuziki ama nini.
Nakumbuka nikiwa kidato cha NNE tulimpendekeza Juma nature ama pfoffessor J kuwa mgeni rasmi wakati huo ndio walikuwa wanasumbua ktk burudani ila walimu walipokea pendekezo letu kwa namna isiyo njema ilifikia hatukuwa na mgeni rasmi kwakuwa tulimkataa diwani aliyealikwa na shule.

Kama unaiheshimu kazi yako na wewe mwenyew unajiheshimu kwa nini usiheshimiwe? Go jide hawakuwezi miaka mia, super comando herself aka iron lady , mama wallet,mama somefood
 
The Comando by her self..........

halafu kapendezea huyo.. maana ye yupo katikati
huku umekaa mibaba imejazia pembeni
 
Kama unaiheshimu kazi yako na wewe mwenyew unajiheshimu kwa nini usiheshimiwe? Go jide hawakuwezi miaka mia, super comando herself aka iron lady , mama wallet,mama somefood
warumi unampendaga sana huyu dada.nlijua lazima uje.ila anastahili.hongera kwake na kwako meneja ake wa jf
 
Last edited by a moderator:
warumi unampendaga sana huyu dada.nlijua lazima uje.ila anastahili.hongera kwake na kwako meneja ake wa jf

Kweli kabisa hujakosea, mi ndo manager wa jide apa JF, huyo mwanamke ni balaa binamu, hata sijui nimuelezee vipi, yuko poa sana. Jide ana mtandao mpana wa watu wa maana, we mpaka makampuni na mashirika mbali mbali makubwa wanamualika na kumpa ubalozi unadhani ni kitu kidogo?
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa hujakosea, mi ndo manager wa jide apa JF, huyo mwanamke ni balaa binamu, hata sijui nimuelezee vipi, yuko poa sana. Jide ana mtandao mpana wa watu wa maana, we mpaka makampuni na mashirika mbali mbali makubwa wanamualika na kumpa ubalozi unadhani ni kitu kidogo?

Sijui ni mwaka jana sijui mwaka huu alialikwa kuwa mgeni rasmi Dakawa sec high school but hadi mwisho wa sherehe sikuona jide ameahidi kuwasaidia chochote wanadakawa wale pamoja na kueleza changamoto walizonazo hapo shuleni kupitia risala waliyoisoma wahitimu
 
Sijui ni mwaka jana sijui mwaka huu alialikwa kuwa mgeni rasmi Dakawa sec high school but hadi mwisho wa sherehe sikuona jide ameahidi kuwasaidia chochote wanadakawa wale pamoja na kueleza changamoto walizonazo hapo shuleni kupitia risala waliyoisoma wahitimu

Ngoja Warumi aje anakutafutia jibu.
 
10606211_10152364671115025_9056392348384069224_n.jpg
 
Umenikumbusha siku nilipokuwa saba saba nikamuuliza swali komando wetu wa jwtz hivi mbona sijawahi kusikia komando mwanamke akanijibu " ni kweli hayupo duniani kote lakini except Tanzania ndio tunaye na unamjua ni Komando lady jay dee kwa hiyo Mungu katubariki". Nilicheka sana
 
Sijui ni mwaka jana sijui mwaka huu alialikwa kuwa mgeni rasmi Dakawa sec high school but hadi mwisho wa sherehe sikuona jide ameahidi kuwasaidia chochote wanadakawa wale pamoja na kueleza changamoto walizonazo hapo shuleni kupitia risala waliyoisoma wahitimu

kwa hyo unapendekeza wagen rasmi wawe mafisadi tu fucckkkkkknnn yu
 
Kama unaiheshimu kazi yako na wewe mwenyew unajiheshimu kwa nini usiheshimiwe? Go jide hawakuwezi miaka mia, super comando herself aka iron lady , mama wallet,mama somefood

anacondaaaaaaa
kwa kweli jide ni mfano wa kuigwa ktk tssnia ya mziki
kay our almighty protect her
 
Back
Top Bottom