Jazirat hizr( Pemba)

Jazirat hizr( Pemba)

AL-bajouny

Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
37
Reaction score
8
Pemba ni kisiwa mashuhuri kilicho katika bahari ya Hindi kihistoria Pemba haikua Afrika huko Karen za nyuma zilopita kwa mujibu ya tarehe kisiwa hichi kilianza kuishi with tokea wakati wa Nabii suleyman kabla ya kushikiliwa kisiwa hichi na Nabii suleyman kilikua chini ya Balkis ambae alikua mtawala Wa Yemen wakati huo na utawala wake ulifikia katika kisiwa hichi wakati huo kisiwa hichi kilikua maarufu kua ni jela la Majini( mashetani) wale ambao wakimuasi Nabiiyu llahh Suleyman pamoja nakua ni jela ya majini na wanaadam walikuwepo katika kisiwa hicho kutokea muda huo watu hao waliamini mungu mmoja tukimaanisha ni Waislam kadri Karen zilipo zikisonga mbele kuna matukio mengi yanayo sekana katika kisiwa hicho hats Nabii hizr inasemekana kuwepo katika kisiwa hicho like Lisa mashuhuri cha Nabii Musa alipotaka kujua km kuna mwenye elimu zaid yake ndipo alipokutanishwa na mcha mungu huyo am aye alikua na elimu zaid ya yeye

Wanna jf tutaendelea Luna mengi fatilia kwa makin update kuijua Pemba na watu wake
 
Jitahidi kufanya masahihisho kabla huja post thread. Vile vile usituletee historia ya uongo. Mambo ya baraza za kahawa usiyalete hapa. Haya uliyoandika hapa ni uongo mtupu. Toa chanzo cha hizi habari.
 
Pemba ni kisiwa mashuhuri kilicho katika bahari ya Hindi kihistoria Pemba haikua Afrika huko Karen za nyuma zilopita kwa mujibu ya tarehe kisiwa hichi kilianza kuishi with tokea wakati wa Nabii suleyman kabla ya kushikiliwa kisiwa hichi na Nabii suleyman kilikua chini ya Balkis ambae alikua mtawala Wa Yemen wakati huo na utawala wake ulifikia katika kisiwa hichi wakati huo kisiwa hichi kilikua maarufu kua ni jela la Majini( mashetani) wale ambao wakimuasi Nabiiyu llahh Suleyman pamoja nakua ni jela ya majini na wanaadam walikuwepo katika kisiwa hicho kutokea muda huo watu hao waliamini mungu mmoja tukimaanisha ni Waislam kadri Karen zilipo zikisonga mbele kuna matukio mengi yanayo sekana katika kisiwa hicho hats Nabii hizr inasemekana kuwepo katika kisiwa hicho like Lisa mashuhuri cha Nabii Musa alipotaka kujua km kuna mwenye elimu zaid yake ndipo alipokutanishwa na mcha mungu huyo am aye alikua na elimu zaid ya yeye

Wanna jf tutaendelea Luna mengi fatilia kwa makin update kuijua Pemba na watu wake

Karibu sana jamvini mgeni.

Kabla ya kuiweka habari hapa inabidi ujiridhishe umeandika katika lugha nzuri inayoweza kusomwa vizuri.

Naomba uweke na source ya hii habari.
 
Jitahidi kufanya masahihisho kabla huja post thread. Vile vile usituletee historia ya uongo. Mambo ya baraza za kahawa usiyalete hapa. Haya uliyoandika hapa ni uongo mtupu. Toa chanzo cha hizi habari.

Mkuu Globu nategemea utakuwepo hadi mwisho wa huu mjadala anaouleta huyu mwenzetu, nadhani nawe utakuwa na historia kuhusu hiki kisiwa.
 
Last edited by a moderator:
balqis ama queen of sheba.... very sorry haijapata kuandikwa kokote isipokuwa kwenye maneno yako kuwa balqis aliitawala pemba.

vipi kusiwe na kithibiti chochote kuwa balqis(ambaye unamsema wewe amechorwa kama mwarabu from Yemen) alitawala pemba kwa maana ya kuacha ngome,baki lolote la kihistoria hata iwapo aliitawala pemba akiwa Yemen ni lazima angejenga na kuweka watu wenye descent ya kwao(waarabu) ambao ni lazima wangeacha vizazi(Arabians)......wana historia waliofika pwani ya wazenji(blacks) kwanini hawakuongelea juu ya uwepo wa white race kwenye ukanda huu?

wakati balqis(queen of sheba) ambaye ameish karbu 10 centuries BC anatawala pemba walikuwa na shughuli ipi ambayo imeshindwa kuacha traces kuwa alikwepo??????

NJOO NA MAJIBU
 
Baada ya mpumziko wanna jf waweza kuendelea kuijua Pemba mnamo Karen ya Tisa ilisemekana asilimia kubwa ya watu wapemba walikua waupe ikimaanisha ni waarabu walio to kea sehemu mbalibali Yemen kuweti Oman na vile vile walikuwepo na watu wenye asili ya kiafrika ambao walitokea Somali sudan na hata jibut kabila za watu Wa Pemba ni kithibitisho pamoja na utamaduni wao ni kithibitisho tosha kua wanafanana na asili zao kabila km hazarmy latuby alsubhi tamamy baalawi na bajouny nimiongoni mwa kabila maarufu kisiwani humo wako wanao wabeza wapemba lakini hili halifichiki watu wakisiwa hichi niwakarim sana na asilimia mia moja ni waislam na hupenda sana kutangaza dini yao pale wafikapo ugenini na wakabaini km hapa uislam hauna nguvu ni dalili tosha km huu ni urith utokanao na babu zao watu wakisiwa hichi shughuli zao kubwa ni uvuvi kilimo na biaashara Allah amewaruzuku barka ya hilo tarehe zinatwambia kisiwa hichi hakikupata upinzani mkali Wa kiutawala kwani walipendana sana na kushikamana na kua kitu kimoja hadi pale alipoingia mreno mnamo Karen ya 16 ushujaa wao ulikua mkubwa na walipambana bila kutaka msaada kutoka majirani zao umoja namshikamano wao na mungu aliwapa nguvu kuweza kuzuia udhalim wakatihuo bado tunaliona hili lipo kwa watu wapemba

Pemba peremba ukija na jokho utarudi na kilemba

Wana jf musiondeke tutaendelea na siogopi kukosolewa .
 
Mkuu Globu nategemea utakuwepo hadi mwisho wa huu mjadala anaouleta huyu mwenzetu, nadhani nawe utakuwa na historia kuhusu hiki kisiwa.

Kaka mkubwa salama. Usijali pamoja sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Lumanyisa kwanza karibu Pemba utapowaona watu Wa Pemba ndio utajua km ni waarabu ama waswahili kumbukumbu zipo maeneo ya mkumbuu Pemba kuta msikiti na kisima ambacho saahivi kimeshafikiwa na bahari hata hao watawala bao walikuwepo ya mwinyi mkuu hapa unguja na mkamandume Pemba hakuna kumbukumbu ya mabaki yalio wazi isikua yalifukuliwa km pesa za dhahabu zilizogunduliwa unguja ukuu kaipwani vigae vya vyvombo vya zamani tumbatu na kuta za msikiti huko Pemba pamoja na kisima
 
ndugu AL-bajouny iwapo arabs wameanza kuishi pemba 10 century BC(10000 BC) kulingana na kumhusisha balqis ambaye aliishi zama hizo ni dhahiri kuwa eneo la pemba lisingekuwa lonely island kwa maana kuwa watu wa yemen plus other arabs wangekuwa na idea kuhusu pemba tangu zama hizo.iwapo waarabu wangeijua pemba tangu karne 10 BC biashara kati ya africa na middle east ingeanza mapema kuliko tunavyoisoma leo.

Ras mkumbuu ruins hazidate back kwenye muda huo zinaonyesha ni za around 10 century AD muda huu tayari wafanyabiashara toka bara arabu walishaanza kusail kuja pwani hii.walianza kuja kwenye karne ya 5-7.

Kuhusu wapemba jiulize kulikuwa na watu wangapi karne ya 9 ama ya 10.maeneo haya ya visiwani hayakukaliwa na idadi kubwa ya watu so ni rahisi kuona rangi nyeupe.hii ni sawa na wahindi wa igunga kina andy chandy.wote ni wakuja wenye nchi ni kina kankwenda kankuta...then sio wpemba wote ni weupe kuna wale weusi tii nahisi ni kutoka tumbatu.
 
Last edited by a moderator:
haya endelea kutupa historia ya Pemba, lakini ingekuwa vizuri ukitupa na references....
 
Pemba ni kisiwa mashuhuri kilicho katika bahari ya Hindi kihistoria Pemba haikua Afrika huko Karen za nyuma zilopita kwa mujibu ya tarehe kisiwa hichi kilianza kuishi with tokea wakati wa Nabii suleyman kabla ya kushikiliwa kisiwa hichi na Nabii suleyman kilikua chini ya Balkis ambae alikua mtawala Wa Yemen wakati huo na utawala wake ulifikia katika kisiwa hichi wakati huo kisiwa hichi kilikua maarufu kua ni jela la Majini( mashetani) wale ambao wakimuasi Nabiiyu llahh Suleyman pamoja nakua ni jela ya majini na wanaadam walikuwepo katika kisiwa hicho kutokea muda huo watu hao waliamini mungu mmoja tukimaanisha ni Waislam kadri Karen zilipo zikisonga mbele kuna matukio mengi yanayo sekana katika kisiwa hicho hats Nabii hizr inasemekana kuwepo katika kisiwa hicho like Lisa mashuhuri cha Nabii Musa alipotaka kujua km kuna mwenye elimu zaid yake ndipo alipokutanishwa na mcha mungu huyo am aye alikua na elimu zaid ya yeye

Wanna jf tutaendelea Luna mengi fatilia kwa makin update kuijua Pemba na watu wake

Safi sana Maalim tupe ilm hiyo..tunakusubiria umwage zaidi maarifa hapa maana manasara hawayajui haya sharti wayajue
 
Ndugu lumayisa dunia hubadilika pale Karen zinapo songa mbele ila nataka nikujuve kwamba hata hao weusi tii waneweza kua waarabu kwa kabila jaribu kufanya uchunguzi asilimia kubwa ya watu Wa Pemba kabila ni za kishihir nikimaani ni watu kutoka Yemen fatilia na utagundua km hao si wakuja ndio wenyewe wazaliwa kinyume na hao wahindi ulio wataja
 
Ndugu lumayisa dunia hubadilika pale Karen zinapo songa mbele ila nataka nikujuve kwamba hata hao weusi tii waneweza kua waarabu kwa kabila jaribu kufanya uchunguzi asilimia kubwa ya watu Wa Pemba kabila ni za kishihir nikimaani ni watu kutoka Yemen fatilia na utagundua km hao si wakuja ndio wenyewe wazaliwa kinyume na hao wahindi ulio wataja

ndugu yangu ukweli ni kuwa historia yako haiendani na ukweli.pemba imeanza kukaliwa zamani kuliko unguja na historia inasema visiwa hivi vimeanza kukaliwa tangu miaka 20,000 iliyopita.iwapo waarabu walianza kuishi tangu wakati huo hiyo ingetosha kuwa na full domination ndani ya pemba jambo ambalo halipo.
 
Ndugu lumayisa dunia hubadilika pale Karen zinapo songa mbele ila nataka nikujuve kwamba hata hao weusi tii waneweza kua waarabu kwa kabila jaribu kufanya uchunguzi asilimia kubwa ya watu Wa Pemba kabila ni za kishihir nikimaani ni watu kutoka Yemen fatilia na utagundua km hao si wakuja ndio wenyewe wazaliwa kinyume na hao wahindi ulio wataja

hakuna mweusi tii mwenye kabila la kiarabu labda wale walijipachka asili isiyokuwa yao kama wale wa sudan.
 
Hahahaaaa kwanza nataka ujue km uwarabu sio rangi sisi kwetu uwarabu ni kabila au nasabu ya mtu kutokana na asili take huku kwetu Pemba tunao watu weusi na wanamilika ardhi Oman walizo rith kutoka kwa babu zao navilevile. Yemen tulia upate uhondo
 
Ni ukweli usio pingika kua Karen ya 9 na 10 Pemba tayar ilikua inaishi watu Pemba wakati huo ilikua karibu sana name jamii ya watu lamu huko Kenya kisiwa hicho hujulikana maarufu kwajina la bajun land uhusiano wawatu wakisiwa hichi na wapemba wanalinga sura zao utamaduni name mwiingiliano Wa kabila ni ukweli usio pingika kua watu hawa Wa lamu wanaasili ya uwarabu tuache huko turudi nyumbani Pemba inaaminika kua with wapemba waliaanza shuhuli za kilimo cha biashara Karen ya 12 soko kubwa LA watu hawa lilikua ni Mombasa Kenya walifanya biashara Zao za kilimo kwa muda mrefu wakiwa namashirikiano na watu miji ya malindi kilifi Sheila pate miji hii ikiwa huko Kenya ni vipi wapemba walijenga uhusiano mkubwa na watu walamu kuliko tumbatu na baghani abapo kua ni miji mikwenge nayo sijambo lisilopingika kisiwa cha Pemba kipo karibu sana kisiwa cha Mombasa kadri huko tuliko toka bado tunaona hatujapata tarehe za kuingia ukirsto katika kisiwa hichi wale wote ambao walikua na uhusiano nawo na ujirani walikua ni waislam

Musiondoke wanna jf hapa kuna mengi matam kutoka pemba
 
rafiki hadithi yako hii haiendani na ukweli.kuna pengo kubwa toka kwa balpis(queen sheba) mpaka karne ya 12.hapa kati kati najiuliza umekosa chakutunga ama umesahau.pemba haijaanza kukaliwa karne ya 12 hivyo kusema wameanza biashara karne hiyo ni uongo.unaweza kujiuliza watu hawa wa visiwani waliwezaje kupata mahitaji yao yote? Walikuwa na ujuzi juu ya ufinyanzi+uhunzi(baada ya chuma kugunduliwa)+je walikuwa na mifugo yao? Kipi kiliwafanya waanye kilimo cha biashara ambacho hawakuwa nacho?

Btw kama hii ilmu sawa ila haina hadhi ya historia pemba
 
Sina uhakika kama Pemba mnaijua vizuri. Hebu niulizeni kwanza
 
Back
Top Bottom