JB Mpiana Asababisha Koffi Olomide Kujificha Kwa Aibu



Kuna mambo mawili, kuteka soko la muziki na kuibua vipaji, Koffi yuko juu. Ila muimbaji mzuri na band inayowakonga wanaojua muziki wa kizazi cha 3-4 cha Muziki wa Soukous, Jean Bedel Mpiana na Le Groupe Wenge BCBG hana mpinzani!
 
Kuna mambo mawili, kuteka soko la muziki na kuibua vipaji, Koffi yuko juu. Ila muimbaji mzuri na band inayowakonga wanaojua muziki wa kizazi cha 3-4 cha Muziki wa Soukous, Jean Bedel Mpiana na Le Groupe Wenge BCBG hana mpinzani!
Kizazi cha 3-4 ni watu wa umri gani?
Soukouss Stars nao walikuwa mafundi wa kuimba, kucheza na kugaragaza ala za muziki. Hawa walikuwa kama l'equipe nationale, yaani team ya taifa! Nilikuwa dogo enzi zao ila kwenye ubarikio tulikuwa tunacheza sana miziki yao na mida ya xmas.
 
Acha kutufanya misukule code moral ni kabla hata wengine hawajabalehe au Maguful hajawa Presidaa
 
La Boss Kirchhoff Tanzanien.... Zuanga Fotoooo! Tchaaaa
To Seka Mokeeee hahhh hhhha hhhhhhh haaaa
Buka kingooooooo zwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiim

Ekotiteeee brrruuuuu Ekotiteeeee!

Hahahahah wazee wa maji baridi utawajua tu. . . . nimecheka sana asante mkuu u made my day . . .
 

Kitu cha mama rhoda. . . hapa yondo beby, pale shimita, kati unamkuta lucian bokilo, fundi lokasa ya mbogo na wengine. . . ilikuwa hatari
 
Mbona wimbo wenyewe Ni wa mwaka Jana???
 
Nimependa hizo ng'are ng'are
 
Kama wadau wanasema wimbo sio mpya unawezakuta hata hayo majina ni ya wachezaji wa Tp Mazembe.
 

Yeah, kizazi cha pili ni akina Franco et al. Kizazi cha tatu ni hao Soukous, Yondo, Lokasa Ya Mbongo, et al. Sasa hawa akina JB Mpiana walianzia mwishon mwa kizazi cha 3 na kukaa kwenye game kizazi chao cha nne cha Muziki wa Congo. Werason, JB Mpiana, Extra Musica, G7 ni kizazi cha nne cha Muziki wa Congo.

Lakini kuna kizaz cha sasa ambapo akina Fally Ipupa, Ferre Gola na wengineo wanaingia hapo!
 

We popoma hebu thibitisha au kanusha,habari hii ambayo imesikika kwa yule mtangazaji Nguli wa muziki wa Congo.Na ambaye ki ukweli hakuna mtangazaji anayemfikia hapa Bongo kwa kujuza habari za muziki na wanamuziki Wa congo na hata muziki wenyewe anaujua Anaitwa Zuberi Msabaha wa Radio free Africa.Alisema JB mpiana amekimbiwa na idadi kubwa ya wanamuziki siku za hivi karibuni.Nilifedheheka sana maana mie pia na mpenzi wa JB Mpiana.Koffi alipokuja hapa nilisoma post yako,na nilikupongeza kimoyomoyo sikutaka kukupa LIKE live,maana shida yako unajiproud sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…