Ndo nani hao?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ndo nani hao?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
kwani ye ney wa mitego anakipi cha maana, watoto bwana kweli hawajui maisha, unamcheka mwenzako wakati we mwenyewe chongo..
Hapa ndipo unapoona tofauti ya MAREHEMU STEVEN CHARLES KANUMBA na hawa wamwaga viuno,inasikitisha sanaThamani ya wasanii wa bongo huwa haieleweke kabisa actor mkubwa kama JB kwenda kukata viuno fiesta kweli ni msanii lakini umri wake pamoja na status yake haviendani kabisa na show kama ya fiesta.