JB simtofautishi na kina Aunt Ezekieli-Ney wa Mitego

Thamani ya wasanii wa bongo huwa haieleweke kabisa actor mkubwa kama JB kwenda kukata viuno fiesta kweli ni msanii lakini umri wake pamoja na status yake haviendani kabisa na show kama ya fiesta.


njaa tu hawa...


 
angegoma panda jukwaani mngesema anaringa... kapanda mnatoa kashfa....
Nchi ngumu sana hii.. Taifa la majungu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…