chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Msanii wa Bongo movie Jacob Steven maarufu kama JB amesema anapata pesa nyingi kuliko hata za mbunge na kuwa fani ya filamu inalipa kuliko fani yoyote ile na hana mpango wa kutoka kwenye filamu kwenda kwenye siasa ili kugombea ubunge
Akizungumzia wasanii ambao wanahama kutoka kwenye kuigiza na kufanya mambo mengine amedai hao wanakuwa hawafanyi vizuri, lakini kwa msanii anayefanya vizuri hawezi kuhama
Akizungumzia wasanii ambao wanahama kutoka kwenye kuigiza na kufanya mambo mengine amedai hao wanakuwa hawafanyi vizuri, lakini kwa msanii anayefanya vizuri hawezi kuhama