JCB: Ughaibuni ndio basi..?

Sasa wazee baba maisha ya watu kama haya yanatuhusu/wahusu kweli?
 
wewe inakuhusu nini kuchangia si lazima, sometime pita vilee
Wewe ni mfuko arifuu.

Tafuta mifuko wenzio na ndugu zako mfungue site mkipost uzi wa kuchimba maisha ya watu tusichangie muwe mnachangia wenyewe na mifuko wenzio.
 
Wewe ni mfuko arifuu.

Tafuta mifuko wenzio na ndugu zako mfungue site mkipost uzi wa kuchimba maisha ya watu tusichangie muwe mnachangia wenyewe na mifuko wenzio.
we ni kiazi acha undeziii, pita vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…