Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Mzee Lowassa alikuwa anajitambua alipogombea 2015 kupitiwa Chadema? Na kwanini alirudi CCM?Angekua anajitambua angegombea Urais hata kupitia CCM au aanzishe chama, ila kwa kuwa hajitambui atagombea ubunge akisubiri "fadhila" apewe teuzi.
Kujitambua means either unaenda one step above au unaachia race sio unasubiri huruma za mtu ndio aokoe political career yako.Kwahiyo Mzee Lowassa alikuwa anajitambua alipogombea 2015 kupitiwa Chadema? Na kwanini alirudi CCM?
Haijawahi tokea Waziri Mkuu Kwa miaka 10 agombee Ubunge Ili avumbue nini?Nauliza tu kwa wabobevu wa siasa! Je 2025 Mh.Waziri Mkuu atagombea tena Ubunge?
Na Kama atagombea na Mh.Rais akamteua mtu mwingine kuwa Waziri Mkuu,hadhi yake itakuwaje Bungeni?
Itakuwa kawaida tu kama walivyokuwa Lowasa na Malecela.Nauliza tu kwa wabobevu wa siasa! Je 2025 Mh.Waziri Mkuu atagombea tena Ubunge?
Na Kama atagombea na Mh.Rais akamteua mtu mwingine kuwa Waziri Mkuu,hadhi yake itakuwaje Bungeni?
Namshangaa aliyesema eti "Ataishije"!Haijawahi tokea Waziri Mkuu Kwa miaka 10 agombee Ubunge Ili avumbue nini?
Hata asipogombea anapata 80% ya Stahiki za Waziri Mkuu wa wakati huo,hakuna Dalili za njaa.
Mwisho atakuwa na Vyeo vingi tuu ikiwemo kuwa Mkuu wa Chuo au nafasi zozote ambazo atapata ,kwani umewahi kuona Pinda anakosa jukwaa?
Anaweza kuja kumrithi Kinana vile vile
Aisee! Africa kuna shida eehh!!Asipogombea ataishije sasa
Kwa mujibu wa katiba, anaruhusiwa ila kwa utamaduni wa CCM, hagombei tena, huyu ni mtu mkubwa sana.Nauliza tu kwa wabobevu wa siasa! Je 2025 Mh.Waziri Mkuu atagombea tena Ubunge?
Hawezi kuteuliwa tena uwaziri Mkuu, amefikia mwisho kwa mujibu wa katiba.Na Kama atagombea na Mh.Rais akamteua mtu mwingine kuwa Waziri Mkuu,hadhi yake itakuwaje Bungeni?
Akigombea au asigombeee, itapandisha au kushusha uchumi? Hii ncji imejaa porojo mfu sana Daily ni porojo zisizo kuwa na kichwa wala miguu, si bure tunaendelea kuwanchi ya wachuuzi, kwa akili za kipumhavu kama hizi lazima tuwe wachuuzi.Nauliza tu kwa wabobevu wa siasa! Je 2025 Mh.Waziri Mkuu atagombea tena Ubunge?
Na Kama atagombea na Mh.Rais akamteua mtu mwingine kuwa Waziri Mkuu,hadhi yake itakuwaje Bungeni?
Halafu wanatuambia tuji-ajiriKujitambua means either unaenda one step above au unaachia race sio unasubiri huruma za mtu ndio aokoe political career yako.
Kama Ndugai hakua na option zaidi ya either kumface Samia 2025 au astaafu but he chose the latter lolote other than that atapotezwa kisiasa kabisa.
Na hii iende kwa Kabudi, Lukuvi, Bashiru and the likes, kusubiri huruma za teuzi ni kheri kustaafu tu.