Je 50/50 kwenye ngazi ya familia haifai kwenye jamii?

Je 50/50 kwenye ngazi ya familia haifai kwenye jamii?

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Ukija kwenye ngazi ya familia 50/50 haifai kwa sababu huwa kuna muingiliano wa majukumu baina ya mwanaume na Mwanamke.

Kuna haki za mwanaume na vilevile kuna haki za Mwanamke.Mwanaume apate haki zake na vilevile mwanamke apate haki zake.

Mwanamke yeyote ambaye anaunga mkono 50/50 utagundua familia ambayo anatokea kuna tatizo
1.Huenda hamjui baba yake mzazi labda kwa sababu ya talaka,kifo, kutengana kwa wazazi, kutekelezwa akiwa mdogo sana
2.Hana maelewano na baba yake- baba yake ni dikteta,alikuwa anampiga, kumfokea, kumtukana, kumkashifu, kumkaripia, kumgombeza, kumdhalilisha,kumpiga mama yake mzazi, kumfukuza nyumbani mama yake mzazi usiku wa manane, kumtelekeza mama yake mzazi mara kwa mara bila chakula wala huduma zozote,kumnyima mama yake mzazi pesa za matibabu kwa makusudi, fumanizi za mara kwa mara.

3.Baba dhaifu sana (weak father) - nyumbani kwao mama ni mkali kupitiliza,ni mbabe, dikteta,yupo na hasira kupitiliza na misimamo mikali sana, huku baba yake mzazi akiwa ni marioo,au kibenteni,au anahudumia familia lakini hana kauli wala mamlaka yoyote ndani ya familia,kwa maana baba yake mzazi ni bwana ndiyo,hana madhara yoyote wala hana heshima yoyote kwa watu wengine.

4.Amepitia manyanyaso ikiwemo,kupigwa, kunyanyaswa, kunyang'anywa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, fumanizi za mara kwa mara,kulazwa nje, kuingiliwa kinguvu, kunyimwa unyumba kwa muda mrefu sana, kutelekezwa na ujauzito au watoto.

hivyo basi chuki , wivu na kinyongo chake ndiyo anataka kumuaminisha kila mtu kwamba wanaume ni wabakaji,wanyanyasaji,walawiti, wahalifu,wanaume ni watu wa mfumo dume.

zingatia kwamba 50/50 husababisha familia kusambaratika, migogoro ya kimapenzi, single mother,mashoga kuongezeka na wasagaji kuongezeka kwenye jamii.
 
Katika andiko lako lote uliloandika hakuna mahali umetaja 50/50 sidhanI kama unajua maana yake
 
Hakuna hadithi ya 50/50.Lazima kuwe na father-figure na mama watoto.Bila hivyo ni kujidanganya tu.
 
50/50 ni usawa wa kijinsia ambapo jinsia ya Me itapewa haki sawa na jinsia ya ke yani pasiwepo na ubaguzi katika suala la utoaji wa haki. Kwamfano haki ya elimu kwa wote me na ke, haki ya kudhaminiwa me na ke n.k yani mtu asibaguliwe kutokana na jinsia yake. NB hii haina maana ya kubadilisha majukumu ya mwanaume kuwa ya mwanamke wala ya mwanamke kuwa ya mwanaume maana kuna mambo tunaweza kufanya sisi wanaume wanawake hawayawezi na kuna mambo wanaweza kufanya wanawake sisi hatuyawezi . Hii ndio maana yake na sii vingivyo
50/50 huwa inakuaje?
 
50/50 ni usawa wa kijinsia ambapo jinsia ya Me itapewa haki sawa na jinsia ya ke yani pasiwepo na ubaguzi katika suala la utoaji wa haki. Kwamfano haki ya elimu kwa wote me na ke, haki ya kudhaminiwa me na ke n.k yani mtu asibaguliwe kutokana na jinsia yake. NB hii haina maana ya kubadilisha majukumu ya mwanaume kuwa ya mwanamke wala ya mwanamke kuwa ya mwanaume maana kuna mambo tunaweza kufanya sisi wanaume wanawake hawayawezi na kuna mambo wanaweza kufanya wanawake sisi hatuyawezi . Hii ndio maana yake na sii vingivyo
Mbona sioni kama hili ni tatizo!
 
Tatizo ni kuweka mambo hesabu kwenye familia
50/50 inamaanisha nusu nusu yanayofanywa na mume yafanywe na mke pia, haki anazopata mume na mke apate,majukumu anayofanya mume na mke apate
...
Changamoto ni kuwa mke hataki kufanya yanayofanywa na mume, akidai ni jukumu la mume na jamii pia inaamini hivyo ila inatudanganya kuwa kuwe na 50/50
...
Hii 50/50 inasaidia kupunguza unyanyasaji kama kupiga mke, lakini kuhusu majukumu hamna 50/50 kwenye familia
...
Hata ubishe ni ukweli usiopingika kuwa pesa yetu wanaume ni ya kuhudumia familia pesa ya mke ni ya mke huigusi, hata akitoa atanuna na huenda atakudai
#kataandoa ndoa ni utapeli
mwenyekiti intelligent business man
katibu wa majobless pro max makutopora mtie neno hapa
 
Tatizo ni kuweka mambo hesabu kwenye familia
50/50 inamaanisha nusu nusu yanayofanywa na mume yafanywe na mke pia, haki anazopata mume na mke apate,majukumu anayofanya mume na mke apate
...
Changamoto ni kuwa mke hataki kufanya yanayofanywa na mume, akidai ni jukumu la mume na jamii pia inaamini hivyo ila inatudanganya kuwa kuwe na 50/50
...
Hii 50/50 inasaidia kupunguza unyanyasaji kama kupiga mke, lakini kuhusu majukumu hamna 50/50 kwenye familia
...
Hata ubishe ni ukweli usiopingika kuwa pesa yetu wanaume ni ya kuhudumia familia pesa ya mke ni ya mke huigusi, hata akitoa atanuna na huenda atakudai
#kataandoa ndoa ni utapeli
mwenyekiti intelligent business man
katibu wa majobless pro max makutopora mtie neno hapa
Sio maana ya 50/50
 
Ukikutana na watu ambao hawajaenda shule wakikueleza kuhusu 50/50 lazima utaona nikitu cha ajabu 🤣 yani kwa ufupi watu hawana uelewa wanaingiza mambo yasiyostahili
Shule haihusiani na misingi ya ujenzi wa familia.Familia ni lazima ieleweke nani ni baba,mama na watoto/wana familia.Ukiendekeza 50/50 utalala na viatu vichafu.
 
Ukikutana na watu ambao hawajaenda shule wakikueleza kuhusu 50/50 lazima utaona nikitu cha ajabu 🤣 yani kwa ufupi watu hawana uelewa wanaingiza mambo yasiyostahili
Niliwahi kukutana na mtu akaniambia 50/50 ina maana kama wanaume wanachimba madini wanawake nao wachimbe, wakibeba matofali na wanawake wabebe, wakipigana vita mstari wa mbele na wanawake nao wapigane!
 
Ukija kwenye ngazi ya familia 50/50 haifai kwa sababu huwa kuna muingiliano wa majukumu baina ya mwanaume na Mwanamke.

Kuna haki za mwanaume na vilevile kuna haki za Mwanamke.Mwanaume apate haki zake na vilevile mwanamke apate haki zake.

Mwanamke yeyote ambaye anaunga mkono 50/50 utagundua familia ambayo anatokea kuna tatizo
1.Huenda hamjui baba yake mzazi labda kwa sababu ya talaka,kifo, kutengana kwa wazazi, kutekelezwa akiwa mdogo sana
2.Hana maelewano na baba yake- baba yake ni dikteta,alikuwa anampiga, kumfokea, kumtukana, kumkashifu, kumkaripia, kumgombeza, kumdhalilisha,kumpiga mama yake mzazi, kumfukuza nyumbani mama yake mzazi usiku wa manane, kumtelekeza mama yake mzazi mara kwa mara bila chakula wala huduma zozote,kumnyima mama yake mzazi pesa za matibabu kwa makusudi, fumanizi za mara kwa mara.

3.Baba dhaifu sana (weak father) - nyumbani kwao mama ni mkali kupitiliza,ni mbabe, dikteta,yupo na hasira kupitiliza na misimamo mikali sana, huku baba yake mzazi akiwa ni marioo,au kibenteni,au anahudumia familia lakini hana kauli wala mamlaka yoyote ndani ya familia,kwa maana baba yake mzazi ni bwana ndiyo,hana madhara yoyote wala hana heshima yoyote kwa watu wengine.

4.Amepitia manyanyaso ikiwemo,kupigwa, kunyanyaswa, kunyang'anywa mali, kufukuzwa nyumbani usiku wa manane, fumanizi za mara kwa mara,kulazwa nje, kuingiliwa kinguvu, kunyimwa unyumba kwa muda mrefu sana, kutelekezwa na ujauzito au watoto.

hivyo basi chuki , wivu na kinyongo chake ndiyo anataka kumuaminisha kila mtu kwamba wanaume ni wabakaji,wanyanyasaji,walawiti, wahalifu,wanaume ni watu wa mfumo dume.

zingatia kwamba 50/50 husababisha familia kusambaratika, migogoro ya kimapenzi, single mother,mashoga kuongezeka na wasagaji kuongezeka kwenye jamii.
50/50 ni mfumo wa yule muovu shetani baba wa uharibifu
 
50/50 ni usawa wa kijinsia ambapo jinsia ya Me itapewa haki sawa na jinsia ya ke yani pasiwepo na ubaguzi katika suala la utoaji wa haki. Kwamfano haki ya elimu kwa wote me na ke, haki ya kudhaminiwa me na ke n.k yani mtu asibaguliwe kutokana na jinsia yake. NB hii haina maana ya kubadilisha majukumu ya mwanaume kuwa ya mwanamke wala ya mwanamke kuwa ya mwanaume maana kuna mambo tunaweza kufanya sisi wanaume wanawake hawayawezi na kuna mambo wanaweza kufanya wanawake sisi hatuyawezi . Hii ndio maana yake na sii vingivyo
 
Shule haihusiani na misingi ya ujenzi wa familia.Familia ni lazima ieleweke nani ni baba,mama na watoto/wana familia.Ukiendekeza 50/50 utalala na viatu vichafu.
Shule ni muhimu mkuu. Kama weww umeelewa vibaya maana ya 50/50 ukaenda kuingiza kwenye familia hujaaribu familia? Au mke wako akielewa vibaya kuhusu hiyo 50 kwa 50 hajaaribu familia?
 
50/50 ni usawa wa kijinsia ambapo jinsia ya Me itapewa haki sawa na jinsia ya ke yani pasiwepo na ubaguzi katika suala la utoaji wa haki. Kwamfano haki ya elimu kwa wote me na ke, haki ya kudhaminiwa me na ke n.k yani mtu asibaguliwe kutokana na jinsia yake. NB hii haina maana ya kubadilisha majukumu ya mwanaume kuwa ya mwanamke wala ya mwanamke kuwa ya mwanaume maana kuna mambo tunaweza kufanya sisi wanaume wanawake hawayawezi na kuna mambo wanaweza kufanya wanawake sisi hatuyawezi . Hii ndio maana yake na sii vingivyo
Hayo ni maneno ya kuongea na kuandika tu lakini ukija kwenye uhalisia sera ya 50/50 kwa namna inavyoenezwa na inavyotendeka ni tofauti na huo ufafanuzi wako. Kimsingi ajenda ya 50/50 ni kumshusha mwanaume na kumpandisha mwanamke.
 
Hayo ni maneno ya kuongea na kuandika tu lakini ukija kwenye uhalisia sera ya 50/50 kwa namna inavyoenezwa na inavyotendeka ni tofauti na huo ufafanuzi wako. Kimsingi ajenda ya 50/50 ni kumshusha mwanaume na kumpandisha mwanamke.
Kwa wasio fahamu kuhusu sera husika
 
Back
Top Bottom