Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Ni kweli kwamba sheria ya sasa ya uchaguzi ni kwaajili ya CCM siyo kwa ajili ya umma. Sheria imetengenezwa kumzuia hata mwana CCM aliyetakiwa na chama ila anatakiwa na wananchi asishinde kwa sababu wananchi siyo wapira kura tena.
Ni sheria inayowapa watawala kuamua nani awe mbunge au diwani bila kujali kura. Ni sheria inayomtaka msimamizi wa uchaguzi kuamua kufuta majina ya wagombea. Ni sheria inayowapa nguvu tume ya uchaguzi kuteua wanayemtaka.
Ni sheria ambayo wakipiga watu kura let say 10 wasimamizi wanaweza kusema zimepigwa kura 1000
Kenya walitumia mfumo wa elektroniki kuhesabu na kutuma matokeo lakini Tanzania hata camera haitakiwi kituoni. Kwamba uchaguzi ni siri ya msimamizi na ukibaki kituoni wewe ni criminal
Kwa mapungufu haya ACT Wazalendo wanaweza kushinikiza uchaguzi kususia uchaguzi hadi sheria zibadilishwe?
Ni sheria inayowapa watawala kuamua nani awe mbunge au diwani bila kujali kura. Ni sheria inayomtaka msimamizi wa uchaguzi kuamua kufuta majina ya wagombea. Ni sheria inayowapa nguvu tume ya uchaguzi kuteua wanayemtaka.
Ni sheria ambayo wakipiga watu kura let say 10 wasimamizi wanaweza kusema zimepigwa kura 1000
Kenya walitumia mfumo wa elektroniki kuhesabu na kutuma matokeo lakini Tanzania hata camera haitakiwi kituoni. Kwamba uchaguzi ni siri ya msimamizi na ukibaki kituoni wewe ni criminal
Kwa mapungufu haya ACT Wazalendo wanaweza kushinikiza uchaguzi kususia uchaguzi hadi sheria zibadilishwe?