maelezo mengine ni kuwa nimependa avatar yako.Sina, labda kama una maelezo mengine.
Yoooooooh Mchomvu wape Mashaavuuuuuu..... wape Mashavuuuuuu... haaaahNdiyo ametangaza mbeya FM, alikua anajulikana kwa jina la "Tall wa ajabu"
Una swali lingine?
Bandago hivi ni mtu mmoja, nakumbuka kama kulikuwa na kundi lina hili jina. Shibobo nampata.Yoooooooh Mchomvu wape Mashaavuuuuuu..... wape Mashavuuuuuu... haaaah
Hapa Mchomvu, pale Bandago, pale Dj Shobobo, Dula (Kaka wa Shibobo) akina Mbuza baadaye akaanzisha Sweet FM
Naam alipokuwa Mbeya FM alitoa na mgoma kadhaa, kama Michano humu anakuambia usiogope Studio kama Chumba cha Sindano.Bandago hivi ni mtu mmoja, nakumbuka kama kulikuwa na kundi lina hili jina. Shibobo nampata.
Ndio alikuwa Mbeya FM wakati huo na akina Bandago...
Na jioni week end alikuwa anachimbo zake pale City Pub jirani na Mbeya RETCO kabla haijavunjwa na Royal Pamodzi, Nkwenzulu Night Club ile karibu na Stand Kuu.
Alikuwa na Jingle yake pale Mbeya Fm "Kama ni Movie Basi sisi ni Arnold Schwarzenegger, kama ni mpira wa kikapu sisi ni Michael Jordan........."
Kea hiyo Mbeya fm ilikuwa? Maana siisikii, au ilibadilishwa jina?Kitambo sana nakumbuka!! Pia pale Mbeya Fm pia alikuwepo jamaa wa kuitwa Twali B kama sijakosea!
Sure,I was at Meta High School at that moment. Jamaa alitisha sana akiwa na jamaa mmoja hivi sasa ni marehemu. Daah kitambo sanaAround 2005
Yaah Mbuza nilisikia alishafariki.Au?Yoooooooh Mchomvu wape Mashaavuuuuuu..... wape Mashavuuuuuu... haaaah
Hapa Mchomvu, pale Bandago, pale Dj Shobobo, Dula (Kaka wa Shibobo) akina Mbuza baadaye akaanzisha Sweet FM
Bandago yupo wapi siku hizi na muziki ulimshinda pia?Ndio alikuwa Mbeya FM wakati huo na akina Bandago...
Na jioni week end alikuwa anachimbo zake pale City Pub jirani na Mbeya RETCO kabla haijavunjwa na Royal Pamodzi, Nkwenzulu Night Club ile karibu na Stand Kuu.
Alikuwa na Jingle yake pale Mbeya Fm "Kama ni Movie Basi sisi ni Arnold Schwarzenegger, kama ni mpira wa kikapu sisi ni Michael Jordan........."
Ni kweli, kwasasa show anasimamia Mdogo wake.Yaah Mbuza nilisikia alishafariki.Au?