flamini
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 533
- 586
Habari zenu wakuu?
Mimi ni kijana niliyekulia na kusoma katika mazingira ya dini na maadili,mimi toka nasoma najua sigara ni hatari kwa afya na matangazo na vitu nilivosoma kuhusu ubaya wa uvutaji sigara ni vingi kiasi kwamba nilijua mimi sitovuta kabisa sigara.
Toka naakili zangu nilikua namjua mjomba wangu ndo mvutaji sigara katika ukoo wetu mzima na nilikua sikai nae,baba yangu sikuwahi kumuona wala kusikia akivuta,bibiyangu mzaa baba ndo niliskia alikua anavuta zamani ila sikai nae wala sijawahi kumuona,kabla nilikua sina hata rafiki mmoja mvutaji.
Lakini mimi toka nipo form 5 boarding from nowhere nimejikuta nimeanza kua mvutaji kwa kujificha ficha mpaka leo nipo chuo tena nasoma mambo ya afya ndo wazee wanakuja kujua na baba yangu alikasirika sana na kunionya sana,yaani kakasirika kweli.
Kilichonifanya niandike uzi huu ni leo mida ya jioni wakati nimetoka nje kidogo na nyumbani kwetu nikajibanza sehemu na mshakiji mmoja jirani hapa nikwa nawasha sigara basi akaniambia hivi"wewe na baba yako wote mnavuta sigara ila hamjuani" aisee bado nusu moshi niumeze niliposikia hivo
Akaniambia mzee wako anavuta ila anajificha sana yaani sikuamini na ndo hapo nilipopata majibu ya maswali yangu ambayo nilikua najiuliza,nilikua najiuliza imekuaje mimi nimekua mvutaji sigara pamoja na mazingira yangu,kampani yangu pamoja na familia yangu kua hayaruhusu tena nimekua mvutaji kirahisi bila kishawishi chochote, Je hizi addiction unaweza ukarithi?Maana mi naona nimerithi.
Mimi ni kijana niliyekulia na kusoma katika mazingira ya dini na maadili,mimi toka nasoma najua sigara ni hatari kwa afya na matangazo na vitu nilivosoma kuhusu ubaya wa uvutaji sigara ni vingi kiasi kwamba nilijua mimi sitovuta kabisa sigara.
Toka naakili zangu nilikua namjua mjomba wangu ndo mvutaji sigara katika ukoo wetu mzima na nilikua sikai nae,baba yangu sikuwahi kumuona wala kusikia akivuta,bibiyangu mzaa baba ndo niliskia alikua anavuta zamani ila sikai nae wala sijawahi kumuona,kabla nilikua sina hata rafiki mmoja mvutaji.
Lakini mimi toka nipo form 5 boarding from nowhere nimejikuta nimeanza kua mvutaji kwa kujificha ficha mpaka leo nipo chuo tena nasoma mambo ya afya ndo wazee wanakuja kujua na baba yangu alikasirika sana na kunionya sana,yaani kakasirika kweli.
Kilichonifanya niandike uzi huu ni leo mida ya jioni wakati nimetoka nje kidogo na nyumbani kwetu nikajibanza sehemu na mshakiji mmoja jirani hapa nikwa nawasha sigara basi akaniambia hivi"wewe na baba yako wote mnavuta sigara ila hamjuani" aisee bado nusu moshi niumeze niliposikia hivo
Akaniambia mzee wako anavuta ila anajificha sana yaani sikuamini na ndo hapo nilipopata majibu ya maswali yangu ambayo nilikua najiuliza,nilikua najiuliza imekuaje mimi nimekua mvutaji sigara pamoja na mazingira yangu,kampani yangu pamoja na familia yangu kua hayaruhusu tena nimekua mvutaji kirahisi bila kishawishi chochote, Je hizi addiction unaweza ukarithi?Maana mi naona nimerithi.