Je afanyaje?

Je afanyaje?

Last sentinel

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
214
Reaction score
81
Huyu jamaa ambition zake zilikuwa ni kuchukua pcb bt akadunda kwa bahat mbaya,phy-d,chem-c,bios-c,geo-d,kisw-f,maths-d,civ-d,hist-d,engli-d,div 4.26, je huyu m2 ataenda advance,na mnamshauri achukue kombi gani akienda advance???
 
Ushauri wangu apige diploma za chuo cha madini (Dodoma), Acheki na watu wa Muhimbili kuna crtificate za famasia, nursing. Apitie DIT aaangalie course zitakazo mfaa. Tu kwa sababu alisoma masomo ya sayansi na ndo hayo kajitahidi
 
Ushauri wangu apige diploma za chuo cha madini (Dodoma), Acheki na watu wa Muhimbili kuna crtificate za famasia, nursing. Apitie DIT aaangalie course zitakazo mfaa. Tu kwa sababu alisoma masomo ya sayansi na ndo hayo kajitahidi
Je hawezi kuendelea na advance?
 
Haaa sikucheki vizuri kiongozi kumbe nyie lengo ni advance. Kwangu mimi ilikuwa ni yeye aweze kupita njia ya mkato mkuu Jeromy. Hapo ni lazima arudie somo moja ili aweze kuwa na C tatu kwenye kombi atakayo.
 
Last edited by a moderator:
Div 4-26
his-c
civ-d
geo-d
bio-c
k-d
eng-c
math-f
je huyu Anaweza Kuendelea Na Advance Kwa Private?naomben Ushauri Wenu
 
Huyu jamaa ambition zake zilikuwa ni kuchukua pcb bt akadunda kwa bahat mbaya,phy-d,chem-c,bios-c,geo-d,kisw-f,maths-d,civ-d,hist-d,engli-d,div 4.26, je huyu m2 ataenda advance,na mnamshauri achukue kombi gani akienda advance???

Kwa jinc matokeo ya mwaka huu yalivyokuwa mabaya huyo asubilie post yake ya kwenda advance pcb coz physics hana f bal ni d kwhyo nakupa 100% lazma aende advance
 
Kwa jinc matokeo ya mwaka huu yalivyokuwa mabaya huyo asubilie post yake ya kwenda advance pcb coz physics hana f bal ni d kwhyo nakupa 100% lazma aende advance
Je,hawezi kubadl combination nyngne?
 
oya mbona hatuelewani,je huyo wa pcb anaweza kubadl combi ikawa eca/
 
div 4-26
his-c
civ-d
geo-d
bio-c
k-d
eng-c
math-f
je huyu anaweza kuendelea na advance kwa private?naomben ushauri wenu

aisee, anakaribishwa itende high school mbeya mjini , atapata nafasi ya advanced ktk michepuo ya hge, hkl, hgk & hgl
 
kwa ushauri wangu akapge dip ya horticulture iliyopo arusha tengeru itamfaaa zaid
 
Kwa jinc matokeo ya mwaka huu yalivyokuwa mabaya huyo asubilie post yake ya kwenda advance pcb coz physics hana f bal ni d kwhyo nakupa 100% lazma aende advance
Nadhani hauko sahihi sana; anaweza kwenda form V, lakini ikifika wakati wa kutaka kwenda chuo kikuu atakwama, kwa sababu atakapojaza matokeo ya form IV ikaonekana hana c tatu computer itamtema tu, Ndiyo maana tunamshauri asome kwanza diploma halafu hiyo diploma ndiyo imuingize chuo kikuu.
Kumbuka inatakiwa ufaulu wa kidato cha nne kabla ya kidato cha sita, hivyo ukijifanya kwenda mbele ukafaulu form 6 kabla ya kurekebisha form IV computer inakutema na kuwezi kurudi nyuma ukafanya form IV
 
Back
Top Bottom