Kweli ajaribu tenaPole mkuu jaribu tena
Mbona mm imefunguka fresh
Nimejaribu kuingia leo jioni, napelekwa kwenye server za Microsoft. Hii hapa screenshot.
Kwenu studio.
View attachment 1985724
Natamani angekua ameelewaItakuwa kuna changes walikuwa wanafanya. Hizo sio server za Microsoft. Hii ni default page ya IIS. Itakuwa wanatumia IIS ku serve http requests.
Hizo ni nafasi za watoto wao zikibakia kama 5 ndio gombania goli hili wenye vyeti vyenye GPA nono, Bahati, pisi kali ndio zao.
Nina miaka 52.Vip wewe ushatuma
Wakuu, mfumo wa kuomba ajira wa sekretariet ya utumishi, Ajira Portal (portal.ajira.go.tz) unaonekana kutofanya kazi baada ya kutangazwa kwa ajira za PCCB na TRA.
Wahuni wameshafanya yao? 🙁 Hii website huwa ina shida ya Security. Nimejaribu kuingia leo jioni, napelekwa kwenye server za Microsoft. Hii hapa screenshot.
Kwenu studio.
View attachment 1985724
Una iscan ndio Una unaiaploadIvi wakuu ukiandika barua ya maombi ya kazi unatakiwa kuiprint au unatuma uliyo andika kwa mkono?
Print halafu sign kisha una scan, mwisho una upload kwenye system yao.Ivi wakuu ukiandika barua ya maombi ya kazi unatakiwa kuiprint au unatuma uliyo andika kwa mkono?
Chief.. mdogo wangu kasoma business administration.. kashafanya kama mara 2 nafasi ya customs officer.. leo akitaka ku apply inamkatalia.. eti hana qualifications, inakuaje hii chiefVip wewe ushatuma
Chief.. mdogo wangu kasoma business administration.. kashafanya kama mara 2 nafasi ya customs officer.. leo akitaka ku apply inamkatalia.. eti hana qualifications, inakuaje hii chief
Ivi wakuu ukiandika barua ya maombi ya kazi unatakiwa kuiprint au unatuma uliyo andika kwa mkono?