Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Hapa nataka kuwauliza watunga Sera na Vyama vya Siasa..., ila kabla ya yote kwanza ninanukuu Babu wa Chama Tawala cha Sasa kilivyosema na kilivyokuwa kinaamini.... (Extract kutoka Hotuba ya Mwalimu Nyerere)
Sasa kuna Kasumba imetokea ya hawa walioshiba kuwaambia vijana wetu kwamba mkajiajiri yaani eti wafundishwe kujiajiri eti vijana hawa ni wavivu na wanashinda vijiweni..., Sasa kwa sisi tuliokula chumvi tukikumbuka kuna kipindi tulikuwa tunachagua kazi (ualimu, upolisi, na kada nyingine watu hawaendi) leo hii tangaza kazi yoyote utapata watu mara 1000 ya wahitaji (kwahio utaona kwamba uhitaji ni mkubwa), na tuliowapa kazi ya kutuwekea mambo sawa hawajayaweka sawa (kwanza ndio yanazidi kwenda kombo)
Na hawa madogo sio wavivu kabisa (kuna wasanii wamejiajiri ndio wanatupa burudani) wengine hadi wameingia kwenye sekta za udangaji, mitaani wachuuzi kibao, watu wanaenda kulima masoko hakuna watu wapo desperate ndio maana wengi wanadumbukia kwenye kamari na mitego ya investment za kitapeli.., Tatizo ni kwamba hakuna misingi (infrastructure) bora ya kutumia nguvu kazi hii...
Sasa wanaosema watu wajiajiri how? Wakaongeze idadi ya wachuuzi na madalali ? Yaani tumesomesha watu kwa kodi zetu ili waje watuuzie bidhaa za mchina ?.., Na zile kazi hot cake ambazo tunaweza kutumia automation tunawapa watu wa mbali waje wafanye ili sisi tuendelee kuwa wachuuzi !!!!
Tunahitaji kurudisha fikra zetu nyuma.., as what's going on is not working and it will get worse......
- CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia riziki yake. Nawaomba ardhi - hakuna ardhi; hamnipi ardhi, Mnasema "Ardhi hakuna". Naomba kazi ya kibarua basi, Nipeni basi ya kibarua, "Hamnipi kazi ya kibarua. Mimi niko tayari kabisa kufanya kazi au ya kulima au ya kibarua chochote nipeni. Hamnipi Chama Chetu kinasema MTANILISHA.
Sasa kuna Kasumba imetokea ya hawa walioshiba kuwaambia vijana wetu kwamba mkajiajiri yaani eti wafundishwe kujiajiri eti vijana hawa ni wavivu na wanashinda vijiweni..., Sasa kwa sisi tuliokula chumvi tukikumbuka kuna kipindi tulikuwa tunachagua kazi (ualimu, upolisi, na kada nyingine watu hawaendi) leo hii tangaza kazi yoyote utapata watu mara 1000 ya wahitaji (kwahio utaona kwamba uhitaji ni mkubwa), na tuliowapa kazi ya kutuwekea mambo sawa hawajayaweka sawa (kwanza ndio yanazidi kwenda kombo)
Na hawa madogo sio wavivu kabisa (kuna wasanii wamejiajiri ndio wanatupa burudani) wengine hadi wameingia kwenye sekta za udangaji, mitaani wachuuzi kibao, watu wanaenda kulima masoko hakuna watu wapo desperate ndio maana wengi wanadumbukia kwenye kamari na mitego ya investment za kitapeli.., Tatizo ni kwamba hakuna misingi (infrastructure) bora ya kutumia nguvu kazi hii...
Sasa wanaosema watu wajiajiri how? Wakaongeze idadi ya wachuuzi na madalali ? Yaani tumesomesha watu kwa kodi zetu ili waje watuuzie bidhaa za mchina ?.., Na zile kazi hot cake ambazo tunaweza kutumia automation tunawapa watu wa mbali waje wafanye ili sisi tuendelee kuwa wachuuzi !!!!
Tunahitaji kurudisha fikra zetu nyuma.., as what's going on is not working and it will get worse......