Je albendazole zinaweza kuzuia mimba endapo mwanamke amezitumia wakati wa ovulation

Je albendazole zinaweza kuzuia mimba endapo mwanamke amezitumia wakati wa ovulation

mandingo6262

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
424
Reaction score
81
Habari zenu wadau wa jamvi hili,

naomba kupatiwa ushauri kwa wadau wenzangu maana huenda sina uelewa wa kutosha juu ya hili. Kuna dada alitumia dawa za albendazole mg 200/kila kidonge na alimeza vidonge vitatu. Wakati huohuo alikuwa anatafuta mtoto na ndo ilikuwa katika siku ambazo yai lake linakuwa limekwiva nikimaanisha siku ya kumi na nne toka kuanza mzunguko wake.
Ninapenda kufahamu kama dawa hizo zinaweza sababisha asipate mimba, na je kama atakuwa kashika mimba,,,dawa hizo haziwezi kuleta madhara kwa kiumbe kilichopo tumboni?
 
Wadau tupeni majibu bac au hamna madokta humu

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Habari zenu wadau wa jamvi hili,

naomba kupatiwa ushauri kwa wadau wenzangu maana huenda sina uelewa wa kutosha juu ya hili. Kuna dada alitumia dawa za albendazole mg 200/kila kidonge na alimeza vidonge vitatu. Wakati huohuo alikuwa anatafuta mtoto na ndo ilikuwa katika siku ambazo yai lake linakuwa limekwiva nikimaanisha siku ya kumi na nne toka kuanza mzunguko wake.
Ninapenda kufahamu kama dawa hizo zinaweza sababisha asipate mimba, na je kama atakuwa kashika mimba,,,dawa hizo haziwezi kuleta madhara kwa kiumbe kilichopo tumboni?

Ni kweli dawa za Albendazole huzuia mimba isitunge. mara nyingi vidonge hivi hutumiwa na wadada kama njia moja wapo ya ya kuzuia mimba mara tu wanapobaini kua wamekutana na wanaume zao katika siku zao za hatari.
Sina uhakika kama ni njia salama kutuma vidonge hivi kwa nia hii.
 
Back
Top Bottom