Je, aliyefungwa Mechi mbili tu na ambaye hajafungwa bado, ila katoka Sare tano nani ameharibu mno Kimsimamo

Bora ufungwe kuliko kutoa sare
Umemaliza kila Kitu Ndugu ila nashangaa bado kuna Majuha wanamsifia aliyetoka Sare Mechi zake 5 na Kupoteza Alama takribani 10 muhimu tu.
 
Uto bila kununua waamuzi ni kama mbao fc tu.
Najua kuna mtu anakamatwa si muda mrefu kwa michezo ya kuhonga waamuzi.Uto mtatafutana waamuzi wakiwaacha
Kwahiyo Prisons walinunua waamuzi ndiyo maana mlipigwa? Mikia maji ya shingo
 
Umemaliza kila Kitu Ndugu ila nashangaa bado kuna Majuha wanamsifia aliyetoka Sare Mechi zake 5 na Kupoteza Alama takribani 10 muhimu tu.
Kwani shida yenu nn? Unbeaten ya arsenal,Azam na Simba hamkutoa sare? Mbona mpaka leo mnajisifia hamkufungwa? Kubalini tu nyie mlishatolewa bikra faida au hasara za sare haziwahusu pambaneni na nyie
 
Kulwa FC katoka Sare tano na Dotto FC Kapoteza Mechi mbili tu je, Kiuchambuzi / Kimpira tu nani kati yao hawa Mapacha ndiyo ameharibu sana?
Sir Alex Ferguson alishawahi kusema Bora kufungwa mechi moja kuliko kutoa sare mechi 2...kwa maana kufululiza sare mda mwingine ni tatizo
 
Sir Alex Ferguson alishawahi kusema Bora kufungwa mechi moja kuliko kutoa sare mechi 2...kwa maana kufululiza sare mda mwingine ni tatizo
Alikuwa na Akili sana kama kweli aliyasema ( aliyatamka ) maneno haya Ndugu. Sare za Yanga SC zinaweza Kuwagharimu Ubingwa Ligi ikimalizika.
 
Alikuwa na Akili sana kama kweli aliyasema ( aliyatamka ) maneno haya Ndugu. Sare za Yanga SC zinaweza Kuwagharimu Ubingwa Ligi ikimalizika.
Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi Kuna timu Scotland ilomaliza ligi bila kufungwa lakini haikuwa bingwa
 
2 loss, loss 6 point. (2x3)
5 draw, loss 10 point(5x2)
 
Sir Alex Ferguson alishawahi kusema Bora kufungwa mechi moja kuliko kutoa sare mechi 2...kwa maana kufululiza sare mda mwingine ni tatizo
Kimahesabu ni yanga kapoteza point sawa sawa na Simba hadi sasa. Japo yanga hajapoteza game.😀
 
Haikuwa Yanga SC ya Scotland hiyo Ndugu?
Hahahaha..yanga atafungwa tuu maana wanasajiri vizuri mechi ya mzunguko wa pili dhidi a Simba watafunguka ili kuwafurahisha mashabiki yao kwamba wamesajiri vizuri shida ndio itakapoanzia hapo
 
Kimahesabu ni yanga kapoteza point sawa sawa na Simba hadi sasa. Japo yanga hajapoteza game.[emoji3]
Angalieni uwiano wa mechi na mkumbuke simba ajacheza na Namungo ambae ayuko kwenye hari mzuri kwenye msimamo wa ligi awez kukubari kupoteza kirahis na Azam pia ana kocha mpya anataka aiweke timu kwenye ushindani kwaio izoh mechi zoote cyo rahisi kama wanavyodhani mashabiki wengi wa simba
 
Tunajua mechi Ni ngumu ila ile hali tukishinda tunakua juu inatupa nguvu ya kupambana tofaut na mwanzo
 
Mijitu ya utopolo kwel SHIDA. Hata kuandika tu taabu

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Umemaliza kila Kitu Ndugu ila nashangaa bado kuna Majuha wanamsifia aliyetoka Sare Mechi zake 5 na Kupoteza Alama takribani 10 muhimu tu.
Wewe nawe ni juha tu, unataka kutuaminisha kwamba Mnyero fc wamefungwa mechi mbili tu na hawana sare hata moja, muongo mkubwa wewe. Wakati mwingine hebu tujadili mambo kwa uhalisia siyo kimhemuko Kama wewe. Mnyero fc kafungwa mechi 2, pia kashona sare 2, na kwa kuwa ligi bado inaendelea tusiwe watabiri wa matokeo, maana humu ndani naona Tambi Tambi a.k.a sheikh yahya mmejaa sana. Habari ndiyo hiyo.
 
Alikuwa na Akili sana kama kweli aliyasema ( aliyatamka ) maneno haya Ndugu. Sare za Yanga SC zinaweza Kuwagharimu Ubingwa Ligi ikimalizika.
Kinacho ipa timu ubingwa ni wingi wa pointi sio timu kutoa sare. Muwe mnatumia ubongo kufikiria. Timu inayodraw inadondosha points vilevile timu ikifungwa inadondosha points. Kwahiyo maana hiyo mwisho wa msimu timu yenye pointi nyingi ndo itakuwa bingwa fullstop.
 
Mbumbumbu fc ni majuha tu. Yanashindwa kujua yana game tatu ngumu mkononi. ie DODOMA JIJI, NAMUNGO na AZAM fc
 
Kwahiyo katika Mechi ya Mpira wa Miguu yule anayefungwa Michezo Miwili tu na anayetoka Sare Michezo Mitano wako sawa kabisa Kimahesabu?
 
Mimi siyo Mshabiki wa Simba SC wala Mfuatiliaji mno wa Mpira ila kwa Tanzania hii bado sijaona Timu ya Kucheza na Simba SC labda FC Barcelona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…