Je ana mimba?

Jocasta

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
474
Reaction score
595
Aliingia breed tarehe 12/02/2019,mpaka Sasa hajaingia tena ni takribani siku 42,zimepita,mwezi huu tarehe 21, nilimpima upt ikaonesha negative, Kwa Hali hii atakuwa na mimba au la, nifanyeje Msaada tafadhali
 
hana siku nyingi ataingia siku zake, ila yawezekana mwezi huu akapitisha (muulize kama huwa anavusha kwa baadhi ya miezi)

yawezekana ana mzunguko mrefu siku 40+, ataingi si muda
 
Aliingia breed tarehe 12/02/2019,mpaka Sasa hajaingia tena ni takribani siku 42,zimepita,mwezi huu tarehe 21, nilimpima upt ikaonesha negative, Kwa Hali hii atakuwa na mimba au la, nifanyeje Msaada tafadhali
Breed ndi nini? Dah! Rekebisha kwanza[emoji2954][emoji2954][emoji2954]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hana siku nyingi ataingia siku zake, ila yawezekana mwezi huu akapitisha (muulize kama huwa anavusha kwa baadhi ya miezi) Mimi nilihisi ana ujauzito, mkuu

yawezekana ana mzunguko mrefu siku 40+, ataingi si muda
 
Aliingia breed tarehe 12/02/2019,mpaka Sasa hajaingia tena ni takribani siku 42,zimepita,mwezi huu tarehe 21, nilimpima upt ikaonesha negative, Kwa Hali hii atakuwa na mimba au la, nifanyeje Msaada tafadhali
kama hicho kipimo kimekupa mpaka majibu sisi ni kina nani hata tukatae hayo majibu? afu breed ni nini mkali?
 
Unavyotaka wewe ndio hivyohivyo wengine wote waongo!
 
Ila kama ni mwanafunzi Segerea ileeeeeeeeeeeeeee inakuita 30 yrs with hard work
 
Aliingia breed tarehe 12/02/2019,mpaka Sasa hajaingia tena ni takribani siku 42,zimepita,mwezi huu tarehe 21, nilimpima upt ikaonesha negative, Kwa Hali hii atakuwa na mimba au la, nifanyeje Msaada tafadhali
Mara ya mwisho alipata siku zake tarehe 12/02/2019!. Ulimpima upt - Kwanini hakupima yeye mwenyewe? Msaada unaohitaji ni wa kujua njia bora ya kupima mimba au kutoa mimba?? Regardless, nendeni hospitali kwa ushauri bora.
 
Aliingia breed tarehe 12/02/2019,mpaka Sasa hajaingia tena ni takribani siku 42,zimepita,mwezi huu tarehe 21, nilimpima upt ikaonesha negative, Kwa Hali hii atakuwa na mimba au la, nifanyeje Msaada tafadhali
No kwa sababu mvua za masika pia zimechelewa. Subiri kidogo tu mambo yanaenda kuwa mazuri.

kutoka: 22D Arnold st.
 
Hivi mimba ni kitu cha kupiga ramli kweli? si unaenda hospitali unapima au unanunua pregnant test alafu mnafanya? Mbona mnachosha watu na vitu vya kitoto
 
Hivi mimba ni kitu cha kupiga ramli kweli? si unaenda hospitali unapima au unanunua pregnant test alafu mnafanya? Mbona mnachosha watu na vitu vya kitoto
Kwasababu na ww ni mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…