Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
1.anahisi mwili wa baridi sana lwa ndani hadi anaumia..anakosa nguvu mwili unalegea.
hali anayojiskua analia kama mtoto mdogo
2.anahisi hofu ya kufakufa mda wote.analia.usiku anaogopa hata kufumba macho anahis atakufa kabisa
3.akiona kitu chenye damu mfano nyama ya ng'ombe mbichi.hata kama imepikwa au ikiwa karibu yake tu nae anatokwa na damu kama vile akiwa period.lakini hii damu inatoka kwa wingi kuliko kawaida..na hata ukiweka nguo inalowa chapachapa..akila ndo kabisa inaflow zaidi ya wiki mbili
3.anahisi kuna kitu kwenye tumbo lake..kuna siku alikua anaharisha vitu vyeusi kama grease
thn akawa anataka kutapika anahis kitu kinataka kutoka tumboni lakini wapi.anajikamua hakitoki.
wenzangu bado ndugu yangu anaumwa..kama kuna aliewahi kupata matatizo kama haya anisaidie solution.
ameemda muhimbili,agakhan,hindu mandal,burhan,jakaya kikwete cardiac inst na kwingineko
kapimwa kila aina ya vipimo
MRI,ct scan..xrays
kapimwa ubongo,figo,kibofu,tumbo,kizazi,kifua,Macho,mapafu,koo,damu.mwanasaikolojia etc
hakuna kitu..hawaoni tatizo lolote
tumeenda makanisa kibao ya kila aina..
miti shamba nayo hakuna matokeo
sheikh mmoja hakuna matokeo
tumetumia pesa nyingi sana..mamilion yameenda
tunahis ni mambo ya kishirikina..basi hata anaemjua wa kutatua hili tatuzo alie karibu na dar anisaidie..
hali anayojiskua analia kama mtoto mdogo
2.anahisi hofu ya kufakufa mda wote.analia.usiku anaogopa hata kufumba macho anahis atakufa kabisa
3.akiona kitu chenye damu mfano nyama ya ng'ombe mbichi.hata kama imepikwa au ikiwa karibu yake tu nae anatokwa na damu kama vile akiwa period.lakini hii damu inatoka kwa wingi kuliko kawaida..na hata ukiweka nguo inalowa chapachapa..akila ndo kabisa inaflow zaidi ya wiki mbili
3.anahisi kuna kitu kwenye tumbo lake..kuna siku alikua anaharisha vitu vyeusi kama grease
thn akawa anataka kutapika anahis kitu kinataka kutoka tumboni lakini wapi.anajikamua hakitoki.
wenzangu bado ndugu yangu anaumwa..kama kuna aliewahi kupata matatizo kama haya anisaidie solution.
ameemda muhimbili,agakhan,hindu mandal,burhan,jakaya kikwete cardiac inst na kwingineko
kapimwa kila aina ya vipimo
MRI,ct scan..xrays
kapimwa ubongo,figo,kibofu,tumbo,kizazi,kifua,Macho,mapafu,koo,damu.mwanasaikolojia etc
hakuna kitu..hawaoni tatizo lolote
tumeenda makanisa kibao ya kila aina..
miti shamba nayo hakuna matokeo
sheikh mmoja hakuna matokeo
tumetumia pesa nyingi sana..mamilion yameenda
tunahis ni mambo ya kishirikina..basi hata anaemjua wa kutatua hili tatuzo alie karibu na dar anisaidie..