Je, asali inasaidia kubana uke?

Je, asali inasaidia kubana uke?

maranatha

Member
Joined
Feb 14, 2012
Posts
58
Reaction score
11
Nimesikia kwa mashost wangu kuwa kuweka asali kwenye uke husaidia kutight . Je ni kweli?
 
Mh usiweke hio kitu huko wewe. Fanya mazoezi ya kukaza misuli ya vagina(KEGEL EXERCISE)itasaidia kuwa tight.
Jaribu kuibana hesabu mpaka 10 then unaachia misuli unaweza kufanya hivo mara nyingi upendavyo. Ukitaka kujaribu ujue kama unakaza misuli ipasavyo weka kidole alafu ukaze misuli na kama umeikaza vizuri utaona kidole kimebanwa.
 
Inakuwa tamu kama asali eti!, mi navosikia inatibu kwa wale wenye mto huko chini inakausha kausha, sijui lakini kama ni kweli.

Ila tatizo la waafrica tiba asili tunazidharau, ukipewa kidonge na mzungu cha kuweka huko unaweza ila tiba asili uamini. Hii tiba alipewa shost wangu wa kihaya na aliniambia alipona.

Ila sio unamwaga asali huko kuna jinsi ya kuweka so kama unaumwa kweli..ni pm nikupe no ya huyo rafiki yangu akuelekeze mi mchaga kwetu hakuna ziwa wala bahari!
 
once the rubber has reached its elastic limit, the equation is irreversible
 
Ukubwa wa vg unaendana na maumbile ya mwanamke. Ukitaka kujua umbile ni kubwa au dogo, Mwambie mwanamke anyooshe kidole gumba pamoja na kinachofuatia na avibananishe. Urefu wa umbo linalotokea hapo ndo ukubwa wa vg.

Sasa ili iwe na utamu mwanamke anatakiwa kufanya mazoezi yafuatayo. Kunywa maji mengi kubana mkojo kwa muda kisha kwenda chooni na kutanua miguu yote na kukojoa. Katikati ya mkojo unashauriwa kukata. Kama njia imeharibiwa sana kwa mara ya kwanza hutaweza kukata mkojo. Endelea na zoezi hilo hadi uweze kukatakata mkojo wako kama mara sita kwa mkojooo mmoja.

Ukiona umeweza umepona. Na unaweza kujaribu kwa kuingiza kidole ukiwa chumbani, na kufanya kama unakata mkojo. Utapata majibu yake kwa kidole. Kea walioathirika sana inachukua muda zaidi ya mwezi. Dozi ya maji ni zaidi ya lita nne kwa siku. Ukikutana na mpenzi wako akiingiza tu kata mkojo. Utamsikia akitoa ring tones kama za cm.

Hivyo kama ww una vidole virefu usiwe na wasiwasi fanya mazoezi hayo urudishe hadhi yako. Misuli inayoathirika kwa kuwa na umri mkubwa,kuzaa au kuduuu sana tiba yake ndo hiyo. Kitaalam tunaiita sphinter muscle. Ya ukeni ni vaginal sphinter muscle na mingine ni anal....... ILa ya anal haiponi.
 
  • Thanks
Reactions: Q.L
inakuwa tamu kama asali eti!
mi navosikia inatibu kwa wale wenye mto huko chini
inakausha kausha....sijui lakini kama ni kweli.
ila tatizo la waafrica tiba asili tunazidharau...ukipewa kidonge na mzungu cha kuweka huko unaweza ila tiba asili uamini.
hii tiba alipewa shost wangu wa kihaya na aliniambia alipona
ila sio unamwaga asali huko kuna jinsi ya kuweka so kama unaumwa kweli..ni pm nikupe no ya huyo rafiki yangu akuelekeze mi mchaga kwetu hakuna ziwa wala bahari!

Moja ya tabia ya asali ni ule uwezo wa kunyonya unyevu na maji (hygroscopicity). Pengine inaweza kuwa sababu ya kukausha maji.
 
Back
Top Bottom