J JamiiTalks JF Advocacy Team Joined Aug 7, 2018 Posts 685 Reaction score 1,124 Jan 25, 2021 #1 Asasi za kiraia ni mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yanayofanya kazi kwa maslahi ya wananchi. Kwa kiwango kikubwa asasi za kiraia zipo kwa ajili ya kukuza ustawi wa watu na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Wazo la asasi za kiraia lina utamaduni mrefu na ni msingi muhimu wa jamii za kisasa. Watendaji wa Asasi za Kiraia wanahusika katika maeneo anuwai ya shida za Wananchi Harakati nyingi za Asasi za Kiraia huamsha michakato ya majadiliano na hatimaye uundwaji wa sera za kusimamia nchi. Upvote 1
Asasi za kiraia ni mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yanayofanya kazi kwa maslahi ya wananchi. Kwa kiwango kikubwa asasi za kiraia zipo kwa ajili ya kukuza ustawi wa watu na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Wazo la asasi za kiraia lina utamaduni mrefu na ni msingi muhimu wa jamii za kisasa. Watendaji wa Asasi za Kiraia wanahusika katika maeneo anuwai ya shida za Wananchi Harakati nyingi za Asasi za Kiraia huamsha michakato ya majadiliano na hatimaye uundwaji wa sera za kusimamia nchi.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 25, 2021 #2 Ahsante kwa taarifa... Cc: mahondaw
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Jan 25, 2021 #3 Sivili sosayati.......au siyo mkuu