Je, audio records yaweza kuwa ushahidi?

abagabo

Senior Member
Joined
Jun 4, 2014
Posts
155
Reaction score
168
Wakubwa, kuna mtu kampigia mwenzake na kuanza kumrekodi kwa kutumia simu. Baadae kesi imefunguliwa mahakamani. Moja ya maandalizi waliyonayo jamuhuri ni kuhusu audio hiyo. Je, audio hii yaweza kumtia hatiani mshitakiwa?, lakini je, aweza kuwapiga maswali gani ktk kudhoofisha mashitaka?
 
akina nape na makamba walienda kupiga magoti kisa audio
 
sidhani kama ni ushahidi wa kuaminika, maana kuna watu wanaigiza sauti ya Magufuli,ya Nyerere, na za watu wengine, nadhani uho ushahidi ni rahisi kuupinga na mahakama ikayapokea mapingamizi yako,
 
According to forensic science, voice analysis can be used in court room as evidence, that is digital evidence is admissible evidence.
 
Inaweza kukubaliwa, ila itahitaji corroboration
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…