Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Ukiangalia namna viongozi wa Azam na wachezaji wake wana hali ya usimba na uyanga mle. Kitendo cha Azam kufungwa goli tatu na Simba kulileta tafsiri ya aina yake kwasababu Azam walihitahi tu point moja kwa Simba ili kujiwekea uhakika wa kucheza klabu bingwa ila cha ajabu tuliona jinsi Azam walivyofungwa.
Mechi mbili za Azam zilizofuata ni kama watu wameanza kuona kama vile Azam wameamua kuwa serious ila binafsi bado sijawa na hiyo imani hadi nione mechi ya mwisho ya Azam dhidi ya Geita.
Hadi sasa nafasi ya pili ipo mikononi mwa Azam kwavile anahitaji ushindi wa aina yoyote ule, wakati Simba wao wanahitaji ushindi wa goli nane dhidi ya JKT. Ni jambo ambalo linawezekana kwa match fixing pekee. Jevni kweli Azam wameamua kutoka kwenye siasa za Simba na Yanga?
Je, wanamaanisha kweli kuutaka nafasi ya pili au ni zuga tu mwishoni wataachia?
Mechi mbili za Azam zilizofuata ni kama watu wameanza kuona kama vile Azam wameamua kuwa serious ila binafsi bado sijawa na hiyo imani hadi nione mechi ya mwisho ya Azam dhidi ya Geita.
Hadi sasa nafasi ya pili ipo mikononi mwa Azam kwavile anahitaji ushindi wa aina yoyote ule, wakati Simba wao wanahitaji ushindi wa goli nane dhidi ya JKT. Ni jambo ambalo linawezekana kwa match fixing pekee. Jevni kweli Azam wameamua kutoka kwenye siasa za Simba na Yanga?
Je, wanamaanisha kweli kuutaka nafasi ya pili au ni zuga tu mwishoni wataachia?