GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika huu Uzi Kazi yangu Kubwa ni kusoma tu Comments zenu Wajuvi wa Masuala Mtambuka Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi linalopiga raia wake ni jeshi linalokosa nidhamu na utii kwa KatibaKatika huu Uzi Kazi yangu Kubwa ni kusoma tu Comments zenu Wajuvi wa Masuala Mtambuka Tanzania.
Kwanza ujiulize kiapo chao kilikuwa cha nini? Maana walitakiwa ndo wawe mfano wa kuigwaJeshi linalopiga raia wake ni jeshi linalokosa nidhamu na utii kwa Katiba
PabinukeJeshi liombe radhi raia? Unaota
Ugomvi mwingi wa wajeda ni kisa mademSema wengi wetu niwaoga, mimi niliwahi kuzinguana na mjeda mmoja bar night mida y saa 7 kisa dem, jamaa tulikua tukifaamiana fresh tu. Sasa mida ya kundoka na manta jamaa si kwa mbwembwe akaanza kunishushia kichapo. Niliamua km mbwai basi iwe dah nilimchapa km mtoto wallah then usiku huohuo tukaenda kumreport kambini nikiwa na dem. Wana ktk kizuizi Chao wakanambia mshkaj kwao Iringa wanamtegemea je ikitokea akafukuzwa ntafaidika na nn. Ilibidi wamtafute na tukayamaliza akazuga eti alikua tungi.
Naomba unifahamishe ni jeshi gani nchini ambalo wanaishi kwa kiapo chao?Kwanza ujiulize kiapo chao kilikuwa cha nini? Maana walitakiwa ndo wawe mfano wa kuigwa
Nachojaribu kumaanisha,ni kwamba kiapo chao, na kulinda wananchi ni sehemu ya kiapo. Sasa,wanapowatesa,maana yake nini? Mtu ni mmoja, kaua. 75 (hao ni wanaojulikana,hawajahusika lakini ndo walikiona cha moto). Na ukifikilia adhabu za wale jamaa kama wanamuadhibu adui wananchi ilikuwaje! Ilikuwa washilikiane huyo mtu apatikane na ilikuwa rahisi wangeamuaNaomba unifahamishe ni jeshi gani nchini ambalo wanaishi kwa kiapo chao?
Sana sana wengine baada ya kuona wanatumwa sana kuua raia wasio na hatia cold blooded wakaamua kutaka wapewe kinga ya kutoahtakiwa kwa jinai....
Wanaamini sisi hatuna akili
Ukimya wa Amiri Jeshi ni circumstantial approval ya barbaric behaviors za vikosi vyetuNachojaribu kumaanisha,ni kwamba kiapo chao, na kulinda wananchi ni sehemu ya kiapo. Sasa,wanapowatesa,maana yake nini? Mtu ni mmoja, kaua. 75 (hao ni wanaojulikana,hawajahusika lakini ndo walikiona cha moto). Na ukifikilia adhabu za wale jamaa kama wanamuadhibu adui wananchi ilikuwaje! Ilikuwa washilikiane huyo mtu apatikane na ilikuwa rahisi wangeamua