Defamation ili uweze kushinda lazima uthibitishe kuwa;Ngoja wajuzi wa sheria waje...
hivi defamation inaingia hapa?
Diamond ni mstaarabu sana. Sanaaa.. Licha ya mapungufu yake.Hamna kesi hapo istoshe anajua kitambo nasib sio mwanae,yeye ndio kamdhalilisha kwa kusema yule mama alitoa mimba yake