Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Dalili Za Sera Ya Hapa Kazi Tu Imeonekana Kuleta Matumaini Kwa Wengi Hata Kwa Wale Waliokuwa Upande Wa Upinzani.
Sasa Kama Rais Magufuli Ataendelea Na Huu Mwanzo Alioanza Nao, Je, Kuna sababu Ya Kuendelea Kudai Katiba Mpya?
Maana Naona Tu Huku Mtaani Hata Wale Ambao Hawakumpigia Kura Magufuli Wanafurahi Kwa Mwenendo Anaoenda Nao.
Sasa Kama Rais Magufuli Ataendelea Na Huu Mwanzo Alioanza Nao, Je, Kuna sababu Ya Kuendelea Kudai Katiba Mpya?
Maana Naona Tu Huku Mtaani Hata Wale Ambao Hawakumpigia Kura Magufuli Wanafurahi Kwa Mwenendo Anaoenda Nao.