Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Katiba baadae kwanza kazi tu
Katiba baadae kwanza kazi tu
Katiba baadae kwanza kazi tu
Dalili Za Sera Ya Hapa Kazi Tu Imeonekana Kuleta Matumaini Kwa Wengi Hata Kwa Wale Waliokuwa Upande Wa Upinzani. Sasa Kama Rais Magufuli Ataendelea Na Huu Mwanzo Alioanza Nao, Je, Kuna sababu Ya Kuendelea Kudai Katiba Mpya??
Maana Naona Tu Huku Mtaani Hata Wale Ambao Hawakumpigia Kura Magufuli Wanafurahi Kwa Mwenendo Anaoenda Nao.
Katiba mpya haina mbadala, ni lazima Kwa ajili ya sustainabilty ni lazima kujenga taasisi zitakazoweka misingi endelevu ya falsafa ya JPM ya "HAPA KAZI TU" ili h?ta mrithi Wake aisimamie misingi hiyo kwa mujibu Wa sheria Mama; KATIBA.
Katiba mpya haina mbadala, ni lazima Kwa ajili ya sustainabilty ni lazima kujenga taasisi zitakazoweka misingi endelevu ya falsafa ya JPM ya "HAPA KAZI TU" ili h?ta mrithi Wake aisimamie misingi hiyo kwa mujibu Wa sheria Mama; KATIBA.
Dalili Za Sera Ya Hapa Kazi Tu Imeonekana Kuleta Matumaini Kwa Wengi Hata Kwa Wale Waliokuwa Upande Wa Upinzani. Sasa Kama Rais Magufuli Ataendelea Na Huu Mwanzo Alioanza Nao, Je, Kuna sababu Ya Kuendelea Kudai Katiba Mpya??
Maana Naona Tu Huku Mtaani Hata Wale Ambao Hawakumpigia Kura Magufuli Wanafurahi Kwa Mwenendo Anaoenda Nao.
Dalili Za Sera Ya Hapa Kazi Tu Imeonekana Kuleta Matumaini Kwa Wengi Hata Kwa Wale Waliokuwa Upande Wa Upinzani. Sasa Kama Rais Magufuli Ataendelea Na Huu Mwanzo Alioanza Nao, Je, Kuna sababu Ya Kuendelea Kudai Katiba Mpya??
Maana Naona Tu Huku Mtaani Hata Wale Ambao Hawakumpigia Kura Magufuli Wanafurahi Kwa Mwenendo Anaoenda Nao.