Naomba kujua siku ambayo bajeti ya Elimu itasomwa Bungeni. Huo ni wakati wa kufanya tathmini juu ya nia ya serikali kuboresha Elimu hapa nchini. Karibu kwa mchango wasko.
nafikiri wanaojua wakija watakujibu, hili ndio jibu sahihi kwa kimbori kama hujui lini bajeti inatolewa hata hivyo kimbori unaweza pitia Parliament of Tanzania