Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Wakuu salama…
Jioni hii umetoka uteuzi wa Balozi Suzana Kaganda kupangiwa nchi ya Zimbabwe kama Balozi wetu huko.
Kabla ya uteuzi huo, Balozi wetu alikuwa Simon Nyakoro Sirro.
Je, Balozi Simon Sirro ametumbuliwa au nae ameomba kupumzika?
Jioni hii umetoka uteuzi wa Balozi Suzana Kaganda kupangiwa nchi ya Zimbabwe kama Balozi wetu huko.
Kabla ya uteuzi huo, Balozi wetu alikuwa Simon Nyakoro Sirro.
Je, Balozi Simon Sirro ametumbuliwa au nae ameomba kupumzika?