Je, Balozi Simon Sirro ametumbuliwa?

Je, Balozi Simon Sirro ametumbuliwa?

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Wakuu salama…

Jioni hii umetoka uteuzi wa Balozi Suzana Kaganda kupangiwa nchi ya Zimbabwe kama Balozi wetu huko.

Kabla ya uteuzi huo, Balozi wetu alikuwa Simon Nyakoro Sirro.

Je, Balozi Simon Sirro ametumbuliwa au nae ameomba kupumzika?
 
Wakuu salama…

Jioni hii umetoka uteuzi wa Balozi Suzana Kaganda kupangiwa nchi ya Zimbabwe kama Balozi wetu huko.

Kabla ya uteuzi huo, Balozi wetu alikuwa Simon Nyakoro Sirro.

Je, Balozi Simon Sirro ametumbuliwa au nae ameomba kupumzika?
Amestaafu umri umeenda yuko na 60+
 
Back
Top Bottom