Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,630
- 1,945
Wadau naombwa ajuae anijulishe . Kwanza Serikali kupitia sheria ya Village land Act ya mwaka 1999 imeweka wazi kuwa Customary certicates of titles ni sawa na title deed za kawaida.
Je Bank zipi za Tanzania ambazo zimekubaliana na utarataibu huu ili hizo hati za kimila ziweze kutumika kukopeshwa?
Je Bank zipi za Tanzania ambazo zimekubaliana na utarataibu huu ili hizo hati za kimila ziweze kutumika kukopeshwa?