je?bao moja tu naweza pata HIV?

Kunywa panadol.
 
wenye tabia isokuwa na subira km yako uoga kama huo unaoonyesha ni mwiko
 
Ni uelewa mdogo juu ya HIV au???????????? Nenda kapime achana nasifa za urijali.
 
Kwa nini usifikirie possibility ya wewe kuwa umemwambukiza huyo binti wa watu!
 
Ulitakiwa ukoage baada ya kungoneka. SIKU NYINGINE IIKITOKEA KAMA HIVYO, WEWE NENDA KAOGE WALA HUTAPATA.

UZINZI UZINZI UZINZI
 
Dah🙁
R.I.P Bagah,, just in case.
 
Nyie ndio mnaorudisha taifa nyuma,kodi zetu zinatumika ma-donors wanachangia pesa kuwapa elimu lkn nyie kama umeziba masikio,umejuaje kama haujapata mchubuko?
 
Kama 24 hrs hazijapita wahi kwa madaktari kuna dawa wanaweza kukusaidia kama wanavyofanya kwa rape victims. Usichelewe!

Hakunaga kitu kama hicho hatopewa hizo dawa,,, kuna criteria za utoaji hatutoi tuu,,,
Kwa mtoa mada: we pima sasa hivi kisha subiria miezi 3 nenda kapime tena.. sikupi moyo ila mara nyingi mwanaume huwa ni ngumu kidogo kupata maabukizi tofauti na mwanamke... ila kapime
 
Kaka usiiendekeze hiyo K kama ingekua tamu usingeikuta ebu sema na moyo wako, sikunyengine vitendea kazi inabidi utembee navyo kama huna subra,inshallah mwenyezi mungu atakustiri subiri baada ya miezi mi tatu ukapime...
 
Michubuko ambamo virus wanapenya huwezi ona kwa macho ya nyama.

Jambo la maana hapo ni kusubiri muda wa dirisha na kucheck ( kupima )

hata kama usinge ngonoka na huyo dada ila tu maji maji ya ukeni ukayagusa ni hatari ukapata maambukizi

VIJANA KUWENI WAANGALIFU

ukimwi upo na tunakwisha kwaajili yake
 
Pole sana ila nadhani utakuwa umejifunza kwa jinsi unavyosumbuliwa kichwa na mawazo.

Kama ulivyoambiwa subiri miezi mitatu tangu uliponogewa then nenda kapime.

Utamu ni utamu ila jitahidi kujua nini ni nini, mabinti wengine wanajua kuhimiza ivaliwe au no gemu, sasa huyu wako sijui anataka mimba au uombe hana ngoma.
 
kwani virusi wanaingiaje kwenye damu yako?...kama hutaki kuzungumzia michubuko?

bagah!dhana kuu ya jibu langu ni kutaka watu kuachana na probability!unaposex michubuko probably may occur probably not! sasa ukitumia akili yako vema si vema ukajihatarisha!

kama huyo demu wako ni hiv infected!probably ur infected!nendeni mkapime! n.b-hiv viruses are microscopic so hata michubuko ambayo anapenya sio lazima mpaka wewe uione!kazi unayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…