je?bao moja tu naweza pata HIV?

mkuu sasa virus wanaingiaje kwenye mwili wa mwenza wake? kama hapajatokea michubuko?

elimu ya ukimwi ni pana sana!epuka kuchukua maarifa ya mtaani!virusi vya ukimwi hukaa ktk majimaji ya aina mbalimbali mwilini ikiwemo hata manii na majimaji ya ukeni!kama yule dada ni positive virus vinaweza kusafiri kutoka ktk majimaji ya uke wake vikaingia ktk uume wa kijana Bagah kupitia njia ya mkojo na kama bagah amewahi kuumwa std's uwezekano ni mkubwa zaidi!huenda mpendwa wetu kijana Bagah tayari ana maambukizi!
 

MC Tilly umenikomaliaje leo...bo!...hivi huwezi hata kufariji waathirika bana!...
 
Last edited by a moderator:

umeshakuwa marehemu mtarajiwa kamili,kapime.
 
vijana humu mnajua kusiliba...hamjui hata kuvunga...ebo!nyie hamjawahi tumbukiza kavukavu?....najua mpo kibao humu hata hamjui afya zenu...lol!nilitaka pia kujua levo ya unyanyapaa humu kwa Jf!...kuna watu wamenipa faraja kwa kweli...lahaula!...
 
TANMO hadi wewe kurwa?...aisee!..
 
Last edited by a moderator:
mnyongeni Jabulani nimepata ushauri wenu...tehe!..mmenifariji aisee..!afu mmekua wakweli...sio kama hawa washkaji wanajidai wasaaaafi...
 
Last edited by a moderator:
BAGAH leo sikutaka kuchangia ila hii michango ya wanajamii Imenichekesha sana dah
Pole sana dogo...
Punguza uchu utakufa ooh halafu Mtei one abaki lonely
 
Last edited by a moderator:
Nadhani tunahitaji na jukwaa la watoto pia, mods plz let's play fair....
 
BAGAH leo sikutaka kuchangia ila hii michango ya wanajamii Imenichekesha sana dah
Pole sana dogo...
Punguza uchu utakufa ooh halafu Mtei one abaki lonely

we acha tu braza...niko kwenye karesearch hapa...nakusanya data...sina habari Erickb52
 
Last edited by a moderator:
huwezi kupata ngoma mbona rais zuma alisex na muathirika kavu kavu na alipomaliza akaenda kukoga virusi vyote vikafa mpaka leo mzima anadunda
Nadhani tunahitaji na jukwaa la watoto pia, mods plz let's play fair....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…