je?bao moja tu naweza pata HIV?

Acheni kumtisha mwenzenu wala hajaambukizwa chochote.Ila mwambieni aache umalaya coz leo moja kesho moja, jumla mawili na ukimwi juu!
 
Teh mpelekee kesho ndokudom awe nazo maana utaniutani mara huyoooo
Lol nakemea kila kitu kibaya kwa BAGAH
Aende angaza akachukue manake zinagawiwa bure lol...
 
Last edited by a moderator:


Aisee mmh..unahitaji kujifunza kwa makini kuhusu ukimwi na jinsi unavyoambukizwa. Wewe unajiuliza kama huyo msichana ana 'ngoma' je kama wewe ndo unao japo huna vidonda kwenye uume? Kwa kujibu swali lako tu ni ndiyo unaweza kuambukizwa VVU hata kwa bao moja!! upo?
 
msd?...puuu!...nataka MELT ME....sh 3000...ninunulie basi kuonesha unanijali sweetlady
Hahahaha, si ndio maana ni bure BAGAH?...ntakununulia mwaya shemeji angu usijali. Uje kesho nyumbani uchukue, ntamwagiza kakako!
 
Last edited by a moderator:
sweetlady inamaana nikipata iyo kitu ndo unanikejeli namna hiyo...?haahhaah!...kweli shemeji sina hapa!
Aaah shem acha kunisingizia, wapi nimekukejeli jamani? Mimi na wewe tena?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…