Tetesi: Je, Bati za Msouth zina Changamoto ya Kuvuja?

Tetesi: Je, Bati za Msouth zina Changamoto ya Kuvuja?

dudunyama

Member
Joined
Jan 25, 2017
Posts
36
Reaction score
37
Habari wadau

Miaka ya hivi karibuni kumekuwepo matumizi ya bati za migongo mipana maarufu kama msouth katika kuezeka nyumba zetu. Kiukweli ni bati ambazo zinamwonekano mzuri ukilinganisha na hizi za migongo midogo ambazo zipo miaka mingi.

Nami nimevutiwa kuzitumia katika ujenzi, lakini
Nimekuwa nikisikia kuwa zina changamoto ya kuvuja katika sehemu ambazo misumali imegongelewa baada ya miaka michache.

Je hili likoje, kama ni kweli ni nini kinapelekea hali hiyo na ni njia zipi zitumike kuepuka hilo.

Zipo bati za miundo mbalimbali lakini naomba tuzungumzie hizi.
20190309_131220.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kukaa kwangu kwenye sekta ya ujenzi kwa muda mrefu sijapata kukutana na kadhia hiyo iwapo fundi amefanya kazi yake vizuri. Ila najua kuna zinazopauka rangi kwa haraka kutokana na ubora wake
 
Habari wadau

Miaka ya hivi karibuni kumekuwepo matumizi ya bati za migongo mipana maarufu kama msouth katika kuezeka nyumba zetu. Kiukweli ni bati ambazo zinamwonekano mzuri ukilinganisha na hizi za migongo midogo ambazo zipo miaka mingi.

Nami nimevutiwa kuzitumia katika ujenzi, lakini
Nimekuwa nikisikia kuwa zina changamoto ya kuvuja katika sehemu ambazo misumali imegongelewa baada ya miaka michache.

Je hili likoje, kama ni kweli ni nini kinapelekea hali hiyo na ni njia zipi zitumike kuepuka hilo.

Zipo bati za miundo mbalimbali lakini naomba tuzungumzie hizi.View attachment 1041495

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina uzoefu nahii kitu mkuu, hizo bati zinamisumari yake special yakupigia so kama mtu kapiga na misumari tofauti ndo adha yakuvuja hutokea.

misumari yake huwa ya tred na kipira, hivyo huzuia kuvuja kwa bati. kama utakuwa na uhitaji wa bati hizo na misumari hiyo waweza nicheki nikuunganishe kiwandani.
IMG-20181025-WA0019.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina uzoefu nahii kitu mkuu, hizo bati zinamisumari yake special yakupigia so kama mtu kapiga na misumari tofauti ndo adha yakuvuja hutokea.

misumari yake huwa ya tred na kipira, hivyo huzuia kuvuja kwa bati. kama utakuwa na uhitaji wa bati hizo na misumari hiyo waweza nicheki nikuunganishe kiwandani.View attachment 1041654

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona me nilisikia hivyo vimpira baada ya muda vinaoza na kuacha uwazi Kati ya bati na kofia ya msumari hali inayopelekea maji kupenya na hivyo bati kuvuja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau

Miaka ya hivi karibuni kumekuwepo matumizi ya bati za migongo mipana maarufu kama msouth katika kuezeka nyumba zetu. Kiukweli ni bati ambazo zinamwonekano mzuri ukilinganisha na hizi za migongo midogo ambazo zipo miaka mingi.

Nami nimevutiwa kuzitumia katika ujenzi, lakini
Nimekuwa nikisikia kuwa zina changamoto ya kuvuja katika sehemu ambazo misumali imegongelewa baada ya miaka michache.

Je hili likoje, kama ni kweli ni nini kinapelekea hali hiyo na ni njia zipi zitumike kuepuka hilo.

Zipo bati za miundo mbalimbali lakini naomba tuzungumzie hizi.View attachment 1041495

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ufundi tu. Cheap is expensive...

Sijawahi kushuhidia haya madai yako. Waliokuambia labda wanatumia mafundi vishoka
 
Nina uzoefu nahii kitu mkuu, hizo bati zinamisumari yake special yakupigia so kama mtu kapiga na misumari tofauti ndo adha yakuvuja hutokea.

misumari yake huwa ya tred na kipira, hivyo huzuia kuvuja kwa bati. kama utakuwa na uhitaji wa bati hizo na misumari hiyo waweza nicheki nikuunganishe kiwandani.View attachment 1041654

Sent using Jamii Forums mobile app
Cheap is expensive....kutafuta unafuu sana kwa ushauri feki wa vishoka ndo matokeo huwa hasi.
 
Mbona me nilisikia hivyo vimpira baada ya muda vinaoza na kuacha uwazi Kati ya bati na kofia ya msumari hali inayopelekea maji kupenya na hivyo bati kuvuja?

Sent using Jamii Forums mobile app
kama mdau alivosema ni ubovu wa fundi, hizo bati zinajengea magodown na project nyingi tu. shidah ni fundi coz iyo tred ya msumari z like kama nati inashika kweli nahairuhusu maji. kuoza kwa kipira sijawahi sikia.

utafiti ulifanyika ndo mana hiyo misumari ni special kwa bati hizo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina uzoefu nahii kitu mkuu, hizo bati zinamisumari yake special yakupigia so kama mtu kapiga na misumari tofauti ndo adha yakuvuja hutokea.

misumari yake huwa ya tred na kipira, hivyo huzuia kuvuja kwa bati. kama utakuwa na uhitaji wa bati hizo na misumari hiyo waweza nicheki nikuunganishe kiwandani.View attachment 1041654

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia changamoto nyingine na mafundi uchwara ambapo anapiga msumari hadi hiyo raba inabonyesha pale inapolala kugusana na bati. Tambua migongo ya bati ni mipana kwa hiyo mvua ikinyesha maji hayashuki kwa kasi toka kwenye migongo na kama kina bonde kwenye hizo raba ndio huko kuvuja kunakoongelewa.

Hakikisha unapata fundi kweli wa bati hizo.
 
Pia changamoto nyingine na mafundi uchwara ambapo anapiga msumari hadi hiyo raba inabonyesha pale inapolala kugusana na bati. Tambua migongo ya bati ni mipana kwa hiyo mvua ikinyesha maji hayashuki kwa kasi toka kwenye migongo na kama kina bonde kwenye hizo raba ndio huko kuvuja kunakoongelewa.

Hakikisha unapata fundi kweli wa bati hizo.
Sawa mdau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom