Bayer 04 Leverkusen leo ipo uwanjani kukipiga na werder Bremen majira ya saa 06:30 pm (12 na nusu jioni).
Ikumbukwe kwamba Bayer Leverkusen wanaongoza ligi ya Bundesliga wakiwa na point 76 huku wakiwa wamecheza michezo 28 na huu wa Leo utakua wa 29.
Nafasi ya pili wapo Bayern Munich wakiwa na michezo 29 kibindoni na pointing zao 63. Hivyo basi gape lao la point ni point 13.
Iwapo Leo Bayer Leverkusen atashinda mchezo wao ,watafikisha pointi 79 ambazo hazifikiwi na timu ya pili/yoyote hata wakishinda michezo yao yote iliyobaki.
Hii itakua ni mara ya kwanza kwa historia ya club yao kutwaa taji la Bundesliga huku wakiwa na michezo mitano (5) mkononi kuelekea mwisho wa ligi hiyo kwa msimu huu ambayo inajumuisha timu 18 yenye jumla ya michezo 34 kwa msimu.
Mara ya mwisho kukamata nafasi za juu ilikua ni msimu wa mwaka 2010/2011 ambapo Bayer Leverkusen walishika nafasi ya pili kwenye Bundesliga na wamefikia hatua hiyo mara 5 kihistoria.
ni P.schick
au V. Boniface
au G.xhaka
au J.hoffman nk
au Xabi Alonso
Je nani kuibeba Bayer Leverkusen leo ?
Je Bayer Leverkusen watatwaa ubingwa wa Bundesliga Leo na kuweka historia ?
Em tusubiri tuone ........
Ikumbukwe kwamba Bayer Leverkusen wanaongoza ligi ya Bundesliga wakiwa na point 76 huku wakiwa wamecheza michezo 28 na huu wa Leo utakua wa 29.
Nafasi ya pili wapo Bayern Munich wakiwa na michezo 29 kibindoni na pointing zao 63. Hivyo basi gape lao la point ni point 13.
Iwapo Leo Bayer Leverkusen atashinda mchezo wao ,watafikisha pointi 79 ambazo hazifikiwi na timu ya pili/yoyote hata wakishinda michezo yao yote iliyobaki.
Hii itakua ni mara ya kwanza kwa historia ya club yao kutwaa taji la Bundesliga huku wakiwa na michezo mitano (5) mkononi kuelekea mwisho wa ligi hiyo kwa msimu huu ambayo inajumuisha timu 18 yenye jumla ya michezo 34 kwa msimu.
Mara ya mwisho kukamata nafasi za juu ilikua ni msimu wa mwaka 2010/2011 ambapo Bayer Leverkusen walishika nafasi ya pili kwenye Bundesliga na wamefikia hatua hiyo mara 5 kihistoria.
ni P.schick
au V. Boniface
au G.xhaka
au J.hoffman nk
au Xabi Alonso
Je nani kuibeba Bayer Leverkusen leo ?
Je Bayer Leverkusen watatwaa ubingwa wa Bundesliga Leo na kuweka historia ?
Em tusubiri tuone ........