Je, BBC Tumbili Service, Amnesty International na Human Rights Watch hili hamjui?

Je, BBC Tumbili Service, Amnesty International na Human Rights Watch hili hamjui?

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
245
Reaction score
314
Siku mbili tatu hizo zilizopita mtaalamu wa UN kuhusu haki za binadamu alitoa taarifa yake baada ya kumtembelea JULIAN ASSANGE. Ni mmiliki wa WikiLeaks ambaye kwa sasa anashikiliwa na Serikali ya Uingereza akisubiri uamuzi wa ama kumkabidhi kwa serikali ya Marekani au la. Alikamatwa mwezi April baada ya kujificha ndani ya ubalozi wa Ecuador mjini London kwa takribani miaka 7.

Mtaalamu wa UN anasema mazingira aliyowekwa Assange ni hatarishi mno na wakati wowote yanaweza kusitisha uhai wake. Anadai Assange anateswa! Anahitimisha Kwa kusema ikiwa Serikali ya Uingereza haitazingatia haki zake kama mwanadamu Assange anaweza kufa wakati wowote ule.

Sasa kina AI na HRW ndio wametoa taarifa zao juzi lakini hawakugusia suala la Assange. Wao wanamuona Kabendera Tu, Amnesty International makao makuu yako London ambako ndiko anakoteswa Assange, BBC Tumbili (aka Swahili) Service iko London. Hayathubutu kumtaja Assange.

Tumbili wetu walio BBC wao kazi kudai kina Azori ambao hakuna ushahidi wowote dhidi ya Serikali ya JMT. Huyu Assange ambaye wanajua yuko mikononi mwa serikali iliyo London hawana habari. Tumbili Service badilikeni. Thubutuni kumtetea Assange tuone kama hamkufurushwa mrudi kwenu!
 
Hizo habari za Assange umezijuilia kupitia media gani kama sio za Wazungu? TBC1?

Kama wanaficha habari zao mbaya hizo za Assange ungezijua au hata za wikileaks alizokuwa akivujisha Assange?

Bbc inatangaza habari mbaya hata za kwao wenyewe, achilia mbali za Uingereza ambazo tunasikia kila mara, unaweza kufananisha na media gani ya serikali huku Afrika?

Watu weusi ni kulalamikia wazungu tu, uvivu, tamaa, roho mbaya zenu huwa hamtaki kabisa kuzijadili wala zisisemwe
 
Hizo habari za Assange umezijuilia kupitia media gani kama sio za Wazungu? TBC1?

Kama wanaficha habari zao mbaya hizo za Assange ungezijua au hata za wikileaks alizokuwa akivujisha Assange?

Bbc inatangaza habari mbaya hata za kwao wenyewe, achilia mbali za Uingereza ambazo tunasikia kila mara, unaweza kufananisha na media gani ya serikali huku Afrika?

Watu weusi ni kulalamikia wazungu tu, uvivu, tamaa, roho mbaya zenu huwa hamtaki kabisa kuzijadili wala zisisemwe

These guys never think; kila wanapojaribu kujisafisha ndipo wanapojipaka matope zaidi.
 
These guys never think; kila wanapojaribu kujisafisha ndipo wanapojipaka matope zaidi.
Usiumize kichwa na kujaa hofu kwa mbwa aliyefungiwa kwenye get maana hawezi kukung'ata. Ndiyo hao mnaita Amnesty international.

Maana ukiangalia televion za US na Uingereza kwenye uvunjaji wa haki za binadamu Afrika wanaweka kipindi cha Massa mawili ila uvunjaji wa haki za binadamu Ulaya na Marekani sekunde thelathini.Hata kama hujui kusoma hats picha huoni.Guantanamo bay unawekwa mahabusu bila kwenda mahakamani miaka yote .

Leo unazungumzia Frick Kabendera ambaye tunajua kabisa kesi ipo mahakamani na maamuzi yanaweza kuwa upande wowote.Au unafikiri ukiwa muandishi wa habari unakuwa untouchable. Poleni sana.
 
Nahisi huwa anaangalia taarifa za kiswahili tu na sio zote... Akumbuke kuwa taarifa za kiswahili Mara nyingi zinahusu Afrika mashariki

Akili ya kuelewa hayo yote ataipata wapi huyo? Wao wanachojua ni kuimba mapambio tu.
 
Usiumize kichwa na kujaa hofu kwa mbwa aliyefungiwa kwenye get maana hawezi kukung'ata. Ndiyo hao mnaita Amnesty international. Maana ukiangalia televion za US na Uingereza kwenye uvunjaji wa haki za binadamu Afrika wanaweka kipindi cha Massa mawili ila uvunjaji wa haki za binadamu Ulaya na Marekani sekunde thelathini.Hata kama hujui kusoma hats picha huoni.Guantanamo bay unawekwa mahabusu bila kwenda mahakamani miaka yote .Leo unazungumzia Frick Kabendera ambaye tunajua kabisa kesi ipo mahakamani na maamuzi yanaweza kuwa upande wowote.Au unafikiri ukiwa muandishi wa habari unakuwa untouchable. Poleni sana.

If that's the case; why bother kulialia hapa? Si mkae kimya tu? Bila pressure kutoka human rights activists ungeisikia Guantanamo bay wewe?
 
Hizo habari za Assange umezijuilia kupitia media gani kama sio za Wazungu? TBC1?

Kama wanaficha habari zao mbaya hizo za Assange ungezijua au hata za wikileaks alizokuwa akivujisha Assange?

Bbc inatangaza habari mbaya hata za kwao wenyewe, achilia mbali za Uingereza ambazo tunasikia kila mara, unaweza kufananisha na media gani ya serikali huku Afrika?

Watu weusi ni kulalamikia wazungu tu, uvivu, tamaa, roho mbaya zenu huwa hamtaki kabisa kuzijadili wala zisisemwe
Achana nae huyo anazungumza mithili ya hayawani kwani mitandao ya hapo nyumbani mbona kila siku inahoji kupotea kwa raia hawa?
 
Siku mbili tatu hizo zilizopita mtaalamu wa UN kuhusu haki za binadamu alitoa taarifa yake baada ya kumtembelea JULIAN ASSANGE. Ni mmiliki wa WikiLeaks ambaye kwa sasa anashikiliwa na Serikali ya Uingereza akisubiri uamuzi wa ama kumkabidhi kwa serikali ya Marekani au la. Alikamatwa mwezi April baada ya kujificha ndani ya ubalozi wa Ecuador mjini London kwa takribani miaka 7.

Mtaalamu wa UN anasema mazingira aliyowekwa Assange ni hatarishi mno na wakati wowote yanaweza kusitisha uhai wake. Anadai Assange anateswa! Anahitimisha Kwa kusema ikiwa Serikali ya Uingereza haitazingatia haki zake kama mwanadamu Assange anaweza kufa wakati wowote ule.

Sasa kina AI na HRW ndio wametoa taarifa zao juzi lakini hawakugusia suala la Assange. Wao wanamuona Kabendera Tu, Amnesty International makao makuu yako London ambako ndiko anakoteswa Assange, BBC Tumbili (aka Swahili) Service iko London. Hayathubutu kumtaja Assange.

Tumbili wetu walio BBC wao kazi kudai kina Azori ambao hakuna ushahidi wowote dhidi ya Serikali ya JMT. Huyu Assange ambaye wanajua yuko mikononi mwa serikali iliyo London hawana habari. Tumbili Service badilikeni. Thubutuni kumtetea Assange tuone kama hamkufurushwa mrudi kwenu!
Mkishashiba ndio maneno yenu hayo huna hata haya binadamu wengine sijui ni wa aina gani sijui una uraia wa taifa gani wewe hivi ungekua umepoteza ndugu yako wa familia ungeshabikia usenge huo?ifike mahali muwe mnakaa kimya na uhayawani wenu mioyoni unawezaje kua na roho ya kishetani kiasi hicho kwa kutetea ugali tu na maisha ya kifahari ambavyo ipo siku vyote utaviacha hapa?jiangalie brother
 
Hizo habari za Assange umezijuilia kupitia media gani kama sio za Wazungu? TBC1?

Kama wanaficha habari zao mbaya hizo za Assange ungezijua au hata za wikileaks alizokuwa akivujisha Assange?

Bbc inatangaza habari mbaya hata za kwao wenyewe, achilia mbali za Uingereza ambazo tunasikia kila mara, unaweza kufananisha na media gani ya serikali huku Afrika?

Watu weusi ni kulalamikia wazungu tu, uvivu, tamaa, roho mbaya zenu huwa hamtaki kabisa kuzijadili wala zisisemwe
Jichubue uwe mzungu kama hutaki kuwa Near Rios
 
Siku mbili tatu hizo zilizopita mtaalamu wa UN kuhusu haki za binadamu alitoa taarifa yake baada ya kumtembelea JULIAN ASSANGE. Ni mmiliki wa WikiLeaks ambaye kwa sasa anashikiliwa na Serikali ya Uingereza akisubiri uamuzi wa ama kumkabidhi kwa serikali ya Marekani au la. Alikamatwa mwezi April baada ya kujificha ndani ya ubalozi wa Ecuador mjini London kwa takribani miaka 7.

Mtaalamu wa UN anasema mazingira aliyowekwa Assange ni hatarishi mno na wakati wowote yanaweza kusitisha uhai wake. Anadai Assange anateswa! Anahitimisha Kwa kusema ikiwa Serikali ya Uingereza haitazingatia haki zake kama mwanadamu Assange anaweza kufa wakati wowote ule.

Sasa kina AI na HRW ndio wametoa taarifa zao juzi lakini hawakugusia suala la Assange. Wao wanamuona Kabendera Tu, Amnesty International makao makuu yako London ambako ndiko anakoteswa Assange, BBC Tumbili (aka Swahili) Service iko London. Hayathubutu kumtaja Assange.

Tumbili wetu walio BBC wao kazi kudai kina Azori ambao hakuna ushahidi wowote dhidi ya Serikali ya JMT. Huyu Assange ambaye wanajua yuko mikononi mwa serikali iliyo London hawana habari. Tumbili Service badilikeni. Thubutuni kumtetea Assange tuone kama hamkufurushwa mrudi kwenu!

Tumbili ni wewe

Ni wewe kwa sababu kwavile fulani ananyea chakula na wewe unahalalisha kunyea chakula!

Yaani kwavile Juma anaua watu basi na mimi ni halali yangu kuua watu!

Hizi stupid equivalencies sijui mnazitumia kuhalalisha upumbavu mnaofanya ili iweje!?

Assange anafanyiwa ubaya ndio maana watu wote duniani tunalaumu na kumtetea!

Walao hata Western world mtu anapewa due process ya kisheria,walao!

Ingekua huku mavumbini ushenzini Assange angeuawa mchana kweupe kama Lissu alivyoponea!
 
Mwanaume yoyote rijali asiyefahamu kwamba hizi amnestry international, Human rights watch and the like ni vituo vya kipropaganda vya nchi za ulaya na marekani.........mwanaume wa dizaini hii yafaa akapimwe mkojo haraka sana

Wakati marekani inaua wajawazito na watoto kule Afghan na Iraqi tena kea kisingizio cga kua na silaha za nyukilia ambazo hata hivyo ilithibitisga hazipo.....haya mashirika hayakunyanyua yata mkia wala kuchukua tone la hatua kea mabwana zao hawa
 
Mwanaume yoyote rijali asiyefahamu kwamba hizi amnestry international, Human rights watch and the like ni vituo vya kipropaganda vya nchi za ulaya na marekani.........mwanaume wa dizaini hii yafaa akapimwe mkojo haraka sana

Wakati marekani inaua wajawazito na watoto kule Afghan na Iraqi tena kea kisingizio cga kua na silaha za nyukilia ambazo hata hivyo ilithibitisga hazipo.....haya mashirika hayakunyanyua yata mkia wala kuchukua tone la hatua kea mabwana zao hawa
 
Be specific as to which human activist you situate your point.....
If that's the case; why bother kulialia hapa? Si mkae kimya tu? Bila pressure kutoka human rights activists ungeisikia Guantanamo bay wewe?
 
Siku mbili tatu hizo zilizopita mtaalamu wa UN kuhusu haki za binadamu alitoa taarifa yake baada ya kumtembelea JULIAN ASSANGE. Ni mmiliki wa WikiLeaks ambaye kwa sasa anashikiliwa na Serikali ya Uingereza akisubiri uamuzi wa ama kumkabidhi kwa serikali ya Marekani au la. Alikamatwa mwezi April baada ya kujificha ndani ya ubalozi wa Ecuador mjini London kwa takribani miaka 7.

Mtaalamu wa UN anasema mazingira aliyowekwa Assange ni hatarishi mno na wakati wowote yanaweza kusitisha uhai wake. Anadai Assange anateswa! Anahitimisha Kwa kusema ikiwa Serikali ya Uingereza haitazingatia haki zake kama mwanadamu Assange anaweza kufa wakati wowote ule.

Sasa kina AI na HRW ndio wametoa taarifa zao juzi lakini hawakugusia suala la Assange. Wao wanamuona Kabendera Tu, Amnesty International makao makuu yako London ambako ndiko anakoteswa Assange, BBC Tumbili (aka Swahili) Service iko London. Hayathubutu kumtaja Assange.

Tumbili wetu walio BBC wao kazi kudai kina Azori ambao hakuna ushahidi wowote dhidi ya Serikali ya JMT. Huyu Assange ambaye wanajua yuko mikononi mwa serikali iliyo London hawana habari. Tumbili Service badilikeni. Thubutuni kumtetea Assange tuone kama hamkufurushwa mrudi kwenu!
hbari za Assange umezijua kupitia GAZETI LA MZALENDO?
umezijua kupitia TBC TAIFA?

umezijua kupitia Toilet Paper za Musiba?








hizo hapo link za toilet pper za Musiba ziliripoti habari za assange.
elimu za shule za kata hizo, mnawekewa bando mnashindwa hata ku google, WTF
 
Mwanaume yoyote rijali asiyefahamu kwamba hizi amnestry international, Human rights watch and the like ni vituo vya kipropaganda vya nchi za ulaya na marekani.........mwanaume wa dizaini hii yafaa akapimwe mkojo haraka sana

Wakati marekani inaua wajawazito na watoto kule Afghan na Iraqi tena kea kisingizio cga kua na silaha za nyukilia ambazo hata hivyo ilithibitisga hazipo.....haya mashirika hayakunyanyua yata mkia wala kuchukua tone la hatua kea mabwana zao hawa
ACHA KUJAMBA UKWENI PUMBAV WEWE.
Kwahiyo hizo NGO huwa haziripoti hayo mambo?

Hizo NGO ulitaka zikawakamate hao maraisi?
Unajua MAREKANI<UK na nchi nyingine kuna makundi yanayopinga ushoga na abortion na kuna yanayounga mkono kama vile ambavyo Tanzania kuna kundi la wachache watawala wanakubali watu wauawe na kusingiziwa kesi ili wasitoke mdarakani na wengi wanapinga ila hawana la kufanya?
Case study : Rwanda 1994
 
If that's the case; why bother kulialia hapa? Si mkae kimya tu? Bila pressure kutoka human rights activists ungeisikia Guantanamo bay wewe?
Acha utoto basi kwani waliokamatiwa ndugu zao wote ni wanaharakati?
 
Back
Top Bottom