Je! Beef hii ni Dar dhidi ya Arusha?

Sema walikuwa wanafanya hiphop lakini kusema imezaliwa hapo msasani siyo kweli mbeya miaka hiyo unayosema watu walikuwa wanafanya hiphop fresh tu ndo maana mpaka wakina profesa jay,kibacha wa kwanza unit etc wanakuja kusoma mbeya wakakuta tayari kuna wasanii kibao wanapiga kazi,wakina 2proud,Jack gooder,BBG na wengine kibao
 
Hiphop is real in Arusha, dar taarabu na singeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…