Uchaguzi 2020 Je, Bernard Membe na Tundu Lissu Watapeperusha Bendera ya Upinzani?

Uchaguzi 2020 Je, Bernard Membe na Tundu Lissu Watapeperusha Bendera ya Upinzani?

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
Katika siasa za nchi yetu sasa ina makundi matatu

Kundi la kwanza ni la Watangazania,Wapinzania na Wagombania.

Watangazania Wamejaa sana CCM hasa baada ya Mwenyekiti kusema kwamba ukikosa ubunge unaweza pata UDC na Hata ukapata Ukurugenzi.Wagombania wako busy kwenye majimbo wanasuka mikakati kuhakikisha kwamba wanapata nafasi za kuingia mjengoni na Wapinzania wako nao wanansuka mkakati kuhakikisha kwamba nao wanashika Dola na kuwang'oa CCM madarakani.

Mkakati wa Wapinzania sasa umewiva,Wameamua kufanya jambo ambalo hakuna anayelitarajia nalo ni kumsimamisha Bernard Membe kama Rais, na Kisha Tundu Lissu kama Mgombea Mwenza.

Membe anawakilisha uasi ndani ya CCM na ataungwa mkono na magwiji wote ambao JPM amepania kuwakata katika kura za maoni za Ubunge wakiwamo kina Nape Nnauye,Yusuphu Makamba,na wengine wengi ambao ni wapinzania wa ndani ya CCM ambao JPM amepania kweli kuhakikisha hawarudi bungeni kwa sababu ya tofauti zao kiitikadi ni kimsimamo.Hivyo basi atakaposimama Membe hawa wote wataungana naye kuhakikisha JPM anatoka ikulu liwake jua inyeshe mvua.

Tundu Lissu anawakilisha wana Mageuzi,wanaonyonywa,waliobinywa,waliodhulumiwa.Anawakilisha watu waliopotezwa kama kina Ben Saanane,Azory na wengine wengi.Anawakilisha wanaoishi kwa hofu ya kupoteza uhuru wao.Anawakilisha waliofungwa gerezani kwa kesi za kubambikiwa,Anawakilishwa waliopteza ajira,walipoteza uhuru,Wanaodhulumiwa na wateule wa JPM.

Kinachosubiriiwa kwa sasa ni nafasi ya Zitto Kabwe na ACT ili hatimaye msimamo upinzani uwe thabiti.

Kwa mpangilio huu kwa hakika CCM haitaweza kushinda ndani ya sanduku la kura wala nje ya sanduku la kura,Sio jeshi wala policcm watakaoweza kuiba kura za wananchi ambao watakuwa wamepewa kile wanachotaka.

Mkakati huu rahisi nimeujadili na watu wengi na kwa hakika ni mkakati thabiti kabisa ambao unaenda kuleta ushindi kwa asilimia kubwa.

Niwatakie kila la heri katika kuleta maendeleo ya nchi na kujenga TAIFA.
 
Ina maana CCM wanaogopa hata kuandaa mamluki ( membe) azuge kama vile anashindana na JPM? Wanaogopa hata mamluki anaweza kumshinda mzee kwenye mkutano mkuu!

Mamluki Membe kafani nae huko
 
Au wafanye hivi

Kila Kila mmoja agombee kivyake..

Waendeleee ku monitor Upepo unaendaje...

Kama ACT ya Membe iko na wadau wengi..CHADEMA ya Lissu watangaze kumuunga Membe Mkono.

Kama CHADEMA ya Lissu iko na wadau..ACT ya Membe itangazs kumuunga mkono Lissu...

Hayo wafanye wiki 2-3 kabla ya Uchaguzi mkuu.



CCM wanamuogopa Membe sababu ya kuwajua..lkn Membe alikua kwa system, yupo tayar kutofanya Alichofanya Lowassa wakati watu walikua tayar ???.


Lissu, Amefikia Point ambayo haogopi tena Kifo, kwa maana nyingine hanunuliki wala ,haogopi chochote, kwake liwalo nawale..

CCM kutoka madarakan haihitaji Ubebi bebi .
 
Mbona mna haraka? Huu mwaka si 2015, mtu anashinda Urais afu anachekacheka tu hataki kudai ushindi wake!! katuzungusha mikono wee afu kakimbilia kwao.

2020 ushindi nje nje na LAZIMA udaiwe!! Mahakama, Police, Usalama jiandaeni shughuli inakuja....!!
 
Mkuu,Tundu Lissu is wounde
Au wafanye hivi

Kila Kila mmoja agombee kivyake..

Waendeleee ku monitor Upepo unaendaje...

Kama ACT ya Membe iko na wadau wengi..CHADEMA ya Lissu watangaze kumuunga Membe Mkono.

Kama CHADEMA ya Lissu iko na wadau..ACT ya Membe itangazs kumuunga mkono Lissu...

Hayo wafanye wiki 2-3 kabla ya Uchaguzi mkuu.



CCM wanamuogopa Membe sababu ya kuwajua..lkn Membe alikua kwa system, yupo tayar kutofanya Alichofanya Lowassa wakati watu walikua tayar ???.


Lissu, Amefikia Point ambayo haogopi tena Kifo, kwa maana nyingine hanunuliki wala ,haogopi chochote, kwake liwalo nawale..

CCM kutoka madarakan haihitaji Ubebi bebi .

Mkuu Tundu Lissu is wounded and unpredictable but very strong.Membe is predictable and reasonable.Naamini kabisa wakigombea kupitia CHADEMA wataleta changamoto kubwa sana kwa CCM kwani JPM amejipanga kuwatoa wagombea wengi sana ndani ya CCM kwa chuki binafsi na hao watataka jukwaa la kuvent hasira zao.

Majimbo ya Uchaguzi Upinzani wagawane 50% kwa kuetgemea uwezo wa chama katika eneo husika.Hasa ACT wanapaswa kuhakiksha kwamba wanapata angalau zaidi viti 80 vya ubunge na CHADEMA wapate viti zaidi ya 100 ili kuhakikisha kuuna upinzani wa kweli.Nawakilisha
 
Ama kwa kutembea, kwa kukimbia, Kupaa, CCM itoke madarakani.
Mkuu,Tundu Lissu is wounde

Mkuu Tundu Lissu is wounded and unpredictable but very strong.Membe is predictable and reasonable.Naamini kabisa wakigombea kupitia CDM wataleta changamoto kubwa sana kwa CCM kwani JPM amejipanga kuwatoa wagombea wengi sana ndani ya CCM kwa chuki binafsi na hao watataka jukwaa la kuvent hasira zao.Majimbo ya Uchaguzi Upinzani wagawane 50% kwa kuetgemea uwezo wa chama katika eneo husika.Hasa ACT wanapaswa kuhakiksha kwamba wanapata angalau zaidi viti 80 vya ubunge na CDM wapate viti zaidi ya 100 ili kuhakikisha kuuna upinzani wa kweli.Nawakilisha
 
Kundi ama chama chochote kile hupitia ktk hatua tano za maendeleo yake, na hatimaye hukutwa na kifo cha kiasili. Jambo hili huungwa mkono na "scholars" wengi sana na pia huthibitishwa kupitia ktk historia kwa kutokea sehemu mbalimbali hapa ulimwenguni.

CCM is no exception, it faces the same scenario. Labda kwa kutaja hatua kwa hatua tunaweza kuziangalia hizo hatua kama ifuatavyo;

1. Forming stage _ Mwl. Nyerere
2. Storming stage - Mzee Mwingi
3. Norming stage - Mzee Mkapa
4. Performing stage - Mzee Kikwete
5. Adjourning stage - Mh. Magufuli

Hii ni kanuni ya asili kabisa ya kifo za vitu vikingwe, hii si ramli chonganishi, ama uhai wake utategemea tafu kubwa kupitia msaada wa vyombo vya dola ambavyo vitazinduka na kufanya uasi dhidi yake, wala hakutakuwa kuwa na kisingizio cha hujuma ama njama za mabeberu. CCM sasa inapigania kifo chake.

Hakuna tena ujanja zaidi ya kukubaliana na ukweli wa mambo. It is the real situation of demonstrating last kicks of the dying horse.
 
Back
Top Bottom