jb87
JF-Expert Member
- Nov 23, 2012
- 250
- 445
Habari zenu waungwana!
Mimi ni mwajiriwa wa serikali, lakini kwa kipindi kirefu sana nimekuwa nikitamani kujihusisha na biashara walau kukuza kipato cha familia.
Bahati mbaya sijawahi kujaribu biashara yoyote, sijui ni uwoga wa maneno ya watu maana mara nyingi nimekuwa nikisikia watu wakilalamika kuwa biashara zao zimeanguka sababu wanakosa muda wa kuzisimamia.
Naomba mwenye uzoefu, je kwa mtumishi/mwajiriwa ni biashara gani ambayo unaweza kuifanya with the little supervision time you have na isikuangushe.
Naomba ushauri wa kujenga waungwana sio kejeli, mi naishi mkoa wa kilimanjaro. karibuni wenye uzoefu tafadhali natumai ushauri wenu utasaidia wengi.
Nawasilisha
Mimi ni mwajiriwa wa serikali, lakini kwa kipindi kirefu sana nimekuwa nikitamani kujihusisha na biashara walau kukuza kipato cha familia.
Bahati mbaya sijawahi kujaribu biashara yoyote, sijui ni uwoga wa maneno ya watu maana mara nyingi nimekuwa nikisikia watu wakilalamika kuwa biashara zao zimeanguka sababu wanakosa muda wa kuzisimamia.
Naomba mwenye uzoefu, je kwa mtumishi/mwajiriwa ni biashara gani ambayo unaweza kuifanya with the little supervision time you have na isikuangushe.
Naomba ushauri wa kujenga waungwana sio kejeli, mi naishi mkoa wa kilimanjaro. karibuni wenye uzoefu tafadhali natumai ushauri wenu utasaidia wengi.
Nawasilisha