Je, Bunge la Katiba lina mamlaka ya uwakilishi wa wananchi?

Je, Bunge la Katiba lina mamlaka ya uwakilishi wa wananchi?

Landson Tz

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2011
Posts
304
Reaction score
238
Wanajamvi,

Ninawasiwasi juu ya Bunge la katiba, kwanza kwasasa bunge la Jamuhuri na baraza la wawakilishi ni makundi kati ya makundi mengine katika jamii na mkataba wao kwa wananchi ni kuwawakilisha.

Sasa majukumu haya mazito kwanini wanapewa bure na Rais na si wananchi kwa kisingizio cha katiba iliyopo ambayo ndiyo chanzo kuandika upya katiba?

Bila kujali gharama za kuwachagua, kwa maoni yangu binafsi wajumbe wa bunge la katiba wangechaguliwa moja kwa moja.
 
Nimekumbuka huu uzi wangu, aina ya bunge la katiba nililokuwa na wasiwas nalo ndilo lilosababisha tukose katiba mpya. Wabunge wa bunge hilo walikuwa na maslahi binafsi.

Kama tunataka katiba mpya yenye maslahi mapana ya wananchi inabidi tuchague wabunge wa bunge la katiba na kuwapa sharti la kushiriki siasa ndani ya miaka kumi. Hapo ndipo tuanzie kwenye rasimu ya Warioba.

Landson Tz
 
Back
Top Bottom