Kati ya carina ti yenye ingini ya cc 1754 na ile yenye injini ya cc 1454 ipi itamfaa mtu mwenye kipato cha chini. Ukizingatia i) ulaji wa mafuta. ii) uimara wa injini.
Matumizi ya kawaida hapa mjini na kama Mara moja au mbili kwa mwaka kwenda Bukoba toka Dar.
Matumizi ya kawaida hapa mjini na kama Mara moja au mbili kwa mwaka kwenda Bukoba toka Dar.